Mapenzi: Kuna wanaume wanaopendwa na kukataa

Mapenzi: Kuna wanaume wanaopendwa na kukataa

Sio useme sory ni ungoje aje unitetee lasivyo kibarua cha kunigegeda kitakuhusu
Haha hizo hatrick mbili na mengine mawili mi sitayaweza kwakweli ila haitatokea hvyo sumbai hawezi kuacha ww mcute
 
Kwann uwakatae jamani? Hvo bahati haziangukii kwangu,demu ana mkia wa kutosha unamkataa??!!!
 
Sio useme sory ni ungoje aje unitetee lasivyo kibarua cha kunigegeda kitakuhusu
Akikuacha tu ni pm nikupe mapacha maana nina bahati nao sanaa if possible
 
Kati ya kumi watakaokataa hawazidi wawili

kukataa kupo best... tena unasema live kabisa bila kuficha maneno!!! hiyo inatokea pale mwanamke anapokufata na ndoto nyingi za kumuoa na kumake future....

Ila kama ni kuhit and run... nadhan tutakataa wachche lol!!!
 
Comments zako nyingi zina afya.

Kobe%20thumbs%20up.jpg
 
Hahahaah wengine tuna damu ya kunguni, kupewa tu tabasamu ngumu ndio itakuwa kutongozwa!!!!!
 
Back
Top Bottom