Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimetokea wengi jf hamna hata mmoja aliyechomoa.
Nazani hamna mwanaume anayekataa
njoo pm ila sijui kama nitakataa au nitakubali
kukataa kupo best... tena unasema live kabisa bila kuficha maneno!!! hiyo inatokea pale mwanamke anapokufata na ndoto nyingi za kumuoa na kumake future....
Ila kama ni kuhit and run... nadhan tutakataa wachche lol!!!
njoo nione unavyodeka sasaJinsi ninavyojua kutongoza huku nadeka mwee huchomoi
Sasa unaleta uongo. Ngoja nianike yetu ya pm! Mi si nlikuchomoa? Bisha sasa nikusome
hahahaha mmh makubwa sasaNyie sio kuwatongoza tuu na boxer nawavua niwaonje
Naona unakaribisha kurubuniwa mpendwaTotoz njooni kwangu..Mi sikatai mtu
nitokee Mimi uone kama nitakukubalia
kwa sababu hawajazoea kutongozwa
Evelyn Salt hebu njoo umwambie huyu mvulana, ni kitu gani hasa kimekufanya unidondokee namna hii??Wenyeji wa jamvi salaaam.
Nimekua nikijiuliza mara nyingi juu ya wale wanaume wanaobahatika kupendwa sana na wanawake fulani waliokaribu nao iwe kazini, vyuoni, mitaani n.k halafu huwa wanakataa kwa nguvu zote.
Hivi hata kama hujawahi kukutana na hali hii unahdani ni mambo gani yanayoweza kuwa sababu kwa wewe kumkataa mwanamke?
natanguliza shukrani zangu.
Hapana, sikukubali labda hukunielewa. Nlikwambia tuonane kwanza ili tuongee. Mgegedo wangu hautoki kirahisiWewe nilikutongoza ukakubali ila wew ni mgumu wa kutoa mgegedo.. bwahahaha