Mapenzi kwa njia ya mdomo, ni chanzo kikuu cha saratani ya koo

Mapenzi kwa njia ya mdomo, ni chanzo kikuu cha saratani ya koo

Tumepitia huko huko wakati wa kuja hapa duniani kwanini tusiugue Kansa mwili mzima,halafu kuna ubaya gani kupaKiss mahali hapo muhimu kwa uwepo wetu.

Piga mbizi kijana kingali meno bado iko
Shika Mic Msichana kingali sauti bado iko.
 
Kuna wale wanaoapa kwamba bila kuzama chumvini hawapati utamu wowote wa mapenzi. Hii ina wahusu. Nasema tena hii inawahusu!

Madaktari wameendelea kutoa tahadhari kwamba kufanya mapenzi kwa njia ya mdomo wenyewe wanaita oral sex, inaongeza sana hatari ya kupata kansa ya koo. Hii inasababishwa na kupata maambukizi ya aina fulani ya virusi wanaitwa kwa kitaalam Human Papilloma Virus type 16 (HPV-16). Kwa mfano nchini Marekani kuna visa vipya 9000 vya wagonjwa wenye kansa ya koo ambao husababisha na virusi hawa kila mwaka!

Virusi hawa husababisha pia kansa ya shingo ya kizazi. Wanasayansi wameonya kwamba ikiendelea spidi hii baadae wagonjwa wenye kansa ya koo watazidi wale wenye kansa ya shingo ya kizazi.

Hatari kubwa iko kwa wale ambao wana wapenzi wengi, kule kuonja huku na huku , huwezi jua virusi utavipata kutoka kwa nani. Hata hivyo hatari iko chini kidogo kwa wanawake kulinganisha na wanaume.

Pia matumizi ya sigara yanaongeza uwezekano wa kupata kansa.

Kazi kwenu sasa, kusuka ama kunyowa.
Hahahaaaaaa woteeee watakugaaa na cancer mpwaaaa
 
Ewe Mwenyezi Mungu tunakuomba utuepushe na huyu (HPV-16)
 
Kwa akili ya kawaiiiiiidaaaaaaaaa tuuu ni propaganda hizo.

Hiyo kansa inatembea vipi mpaka kwenye koo?

Au mpaka umeze mate yale ya pale mdomini alafu yaende kwenye koo?

Kuna virusi vinaambukizwa kupitia mate?
Kuna wale wanaoapa kwamba bila kuzama chumvini hawapati utamu wowote wa mapenzi. Hii ina wahusu. Nasema tena hii inawahusu!

Madaktari wameendelea kutoa tahadhari kwamba kufanya mapenzi kwa njia ya mdomo wenyewe wanaita oral sex, inaongeza sana hatari ya kupata kansa ya koo. Hii inasababishwa na kupata maambukizi ya aina fulani ya virusi wanaitwa kwa kitaalam Human Papilloma Virus type 16 (HPV-16). Kwa mfano nchini Marekani kuna visa vipya 9000 vya wagonjwa wenye kansa ya koo ambao husababisha na virusi hawa kila mwaka!

Virusi hawa husababisha pia kansa ya shingo ya kizazi. Wanasayansi wameonya kwamba ikiendelea spidi hii baadae wagonjwa wenye kansa ya koo watazidi wale wenye kansa ya shingo ya kizazi.

Hatari kubwa iko kwa wale ambao wana wapenzi wengi, kule kuonja huku na huku , huwezi jua virusi utavipata kutoka kwa nani. Hata hivyo hatari iko chini kidogo kwa wanawake kulinganisha na wanaume.

Pia matumizi ya sigara yanaongeza uwezekano wa kupata kansa.

Kazi kwenu sasa, kusuka ama kunyowa.

ukiacha kuchagua jua umechagua kuacha
 
Duuuh dakika 45 zilizopita nimetoka kuzama hapo ndichi chumvini huyu mtoto amenisumbua takribani miez mitatu sasa leo kwao alibaki pekee nikamsogeza getto aseee kuna wanawake ni wasafi sijawai ona zama sana chumvini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa akili ya kawaiiiiiidaaaaaaaaa tuuu ni propaganda hizo.

Hiyo kansa inatembea vipi mpaka kwenye koo?

Au mpaka umeze mate yale ya pale mdomini alafu yaende kwenye koo?

Kuna virusi vinaambukizwa kupitia mate?

ukiacha kuchagua jua umechagua kuacha
Kwani viko kwenye mate??
 
Hivyo virusi vipo kwenye uke umesema isokeeey.

Sasa ukilamba ukee hivyo virusi vinafikaje kwenye koo huko?

Vinasafiri katika nini mpaka vifike kwenye koo na kusababisha hiyo kansa?
Kwani viko kwenye mate??

ukiacha kuchagua jua umechagua kuacha
 
Hivyo virusi vipo kwenye uke umesema isokeeey.

Sasa ukilamba ukee hivyo virusi vinafikaje kwenye koo huko?

Vinasafiri katika nini mpaka vifike kwenye koo na kusababisha hiyo kansa?

ukiacha kuchagua jua umechagua kuacha
Kupitia kwenye mate yako
 
Back
Top Bottom