Mapenzi/Mahusiano: Mambo gani zamani hayakuwezekana lakini sasa ni mepesi tu

Mapenzi/Mahusiano: Mambo gani zamani hayakuwezekana lakini sasa ni mepesi tu

Binti kuzalia nyumbani, zamani Binti akipata mimba nyumbani anafukuzwa, na mama akileta kiherehere kumtetea na yeye anafukuzwa.......ila siku hizi Binti akibeba ujauzito ndio kwanza baba anampa na pesa za bajaji za kwendea clinic......usingle mother umekuwa fashion.
Sijui kile kizazi Cha wababa mashababi wasoyumbishwa na wake zao kimefia wapi.
 
Binti kuzalia nyumbani, zamani Binti akipata mimba nyumbani anafukuzwa, na mama akileta kiherehere kumtetea na yeye anafukuzwa.......ila siku hizi Binti akibeba ujauzito ndio kwanza baba anampa na pesa za bajaji za kwendea clinic......usingle mother umekuwa fashion.
Sijui kile kizazi Cha wababa mashababi wasoyumbishwa na wake zao kimefia wapi.
Pitia soda kwa Muha ntalipa
 
Binti kuzalia nyumbani, zamani Binti akipata mimba nyumbani anafukuzwa, na mama akileta kiherehere kumtetea na yeye anafukuzwa.......ila siku hizi Binti akibeba ujauzito ndio kwanza baba anampa na pesa za bajaji za kwendea clinic......usingle mother umekuwa fashion.
Sijui kile kizazi Cha wababa mashababi wasoyumbishwa na wake zao kimefia wapi.
Si mnataka 50 kwa 50? Haya twende tu.
 
Back
Top Bottom