Mapenzi/Mahusiano: Mambo gani zamani hayakuwezekana lakini sasa ni mepesi tu

Mapenzi/Mahusiano: Mambo gani zamani hayakuwezekana lakini sasa ni mepesi tu

Si mnataka 50 kwa 50? Haya twende tu.
Mimi siamini katika 50/50, huu no mfumo ulowekwa na mabeberu ili kumtoa mwanamke ndani, kumuondolea usimamizi na kumleta nje ili umnyonye.......mwanamke ametumika kama weak link ya kupitisha unyonyaji.
Wanaume wa kiafrika amkeni jamani, tunataka kile kizazi ambacho baba ndio final say, akikohoa tu hadi panya wanahama nyumba.
 
Back
Top Bottom