Mapenzi matamu kweli, ila yamepelea neno YES.

Mkuu umenena sana! nimeipenda sana hii comment sasa waweza kunimegea nifanyeje kidogo angalau asituke na kuona kweli hii ngoma gari sana!

Ahhh, vibwagizo kama vile vile mkuu,
Mitoko ya weekend, vizawadi zawadi kwake na wadogo zake
SMS za kila siku kupenda kujua siku yake inakwenda vipi
and not forgetting MALAVIDEVI kwa wingi LOL
Muhimu zaidi ni kuweka mkakati ya kumtuma m-sheng na POSA kwao
 

Miafrika Ndivyo Tulivyo..[/QUOTE]
 
 
Mhhh kuna watu wana bahati kupendwa na ku proposiwa kwenye charting tu, haya mie sijui! ila kwa kukupa tu mawazo huyo anakuchukulia kama toy tu la kuchati kama angekuwa yuko free na anakupenda angekubali mapema tu kama yeye hadi alinuna ulipomwambia una mpenzi, watu wengine bwana wako selfish kweli utadhani utamu wanaujua wao tu, pole mwaya rudi sokoni wako wengi tu
 

Huyo huyo huyo huyo mjuaji wa kusema! Anasema yaso na maana. Bahati nzuri hii ndo mara yangu ya mwisho kukujibu wewe kifuu tundu.

Na uache kujipendekeza. Mimi siyo rafiki yako. Sikujui hunijui na sitaki kukujua. So kick rocks and die.
 
 
Huyo huyo huyo huyo mjuaji wa kusema! Anasema yaso na maana. Bahati nzuri hii ndo mara yangu ya mwisho kukujibu wewe kifuu tundu.

Na uache kujipendekeza. Mimi siyo rafiki yako. Sikujui hunijui na sitaki kukujua. So kick rocks and die.

duu si mchezo
 
Pouwa nimekusoma!
 
Huyo kama kweli ana mchumba basi kinachopungua kwa huyo mchumba ni "chating session" ambayo anaipata kwako.

Au hana mchumba ila anakuchallenge aone juhudi zako za kuhakikisha unampata ili athibitishe upendo wako kwake LA

Kama umechunguza na kubaini kweli ana mchumba,then akakubali pia kuwa nawe na mnachat muda mwingi(obviously) mambo ya mapenzi the HAFAI KUWA MKE.You know why????????????????

Kitakachopungua kwako atakitafuta kwa mwingine ie VIDUMU otherwise try your lucky
 

This one makes sense..
 
Fuata ushauri huu hapa kama hujipendi. Kama ni kweli ana mtu na anakufurahisha kiasi hicho ujue ukimuoa ataanza kuchat na mimi halafu JF patachimbika (Just kiddin') Ukweli kama utamtoa kwa jamaa ujue kuna siku atakuja jamaa mwenyewe au mzimu wake katika umbile la mtu mwingine na utaibiwa huko huko ndoani na amini inauma hiyo! Usiombe. Thibitisha uhusiano wake na jamaa kama ni wa kweli maana wakati mwingine masister do huzuga wana watu ili wakuumize japo kidogo. Ukijifanya umesusa ndiyo utasikia (.....wewe naye.... hutaniwi?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…