Hata kama hajakuacha physically, ukisikia anasimulia na kutoa sifa kem kem kwa wanaume, Oh tulisaidiana sana, ni mstaarabu sana, anajali sana, anajiheshimu sana, ni mpole sana, tulidiscuss pamoja kwa karibu sana, nk. Kisha simu zikipigwa hataki kuongea nawewe ukiwapo karibu, ujue akilini mwako umechujuka na anao wengine kichwani mwake na huwakumbuka. Tena akiwakumbuka hufarijika sana. Ukiwa shambani kulima unageuzwa screen, kichwani kwake anayelima ni yuleee. Siku moja atakuambia "Hapo hapo John!" kumbe kajisahau kwambawewe n Juma wala sio John. Usiku akiweweseka atalembulia jina la John ilhalin wewe umemzungushia mkono wako juu ya nanii yake.
Misahafu yote inasema usimwamini mwanamke asilimia zote, kuna siri zako zingine ambazo hata mkeo hapaswi kuzifahamu. Hujasikia kuna mwanasiasa waziri Bongo anayemsotesha mumewe msomi na mhadhiri chuo kikuu kimojawapo Bongoland? Yeye na mizunguko tu, shamba hulimwa pale anapojisikia ndio hulipeleka likalimwe, lakini vinginevyo linalimwa huohuko mizungukoni. Ila akisikia kwamba umelipeleka jembe kulima kwa jirani anapagawa kwa hasira, ati hataki jembe lake lichezewe, lakini wakati huo huo hataki kulikalisha shamba lako mahali jembe lilipo ili ulime kwa nafasi.
Hiyo ndiy Kilimo kwanza Bongoland. Huo ni mfano tu. Mkeo akifanikiwa kisiasa na ikapigwa simu usiku wa manane kwamba anatakiwa mara moja sehemu fulani kikazi inakuwaje na shangingi linakuja kumchukuwa? Ukitaka uishi siku nyingi katika mazinbgira kama hayo, wewe jifanye *****. Atalipeleka shamba lako huko, watafanyia majaribio na atalirudisha tena. Omba Mungu tu wasiweke sumu shambani humo ukadhurika na wewe Wengine hawavai buti wanapofanya majaribio katika mashamba yasiyokuwa yao, maana wamezoea na kuyafanya kama vile ni ya kwao.
Kwa hiyo, maendeleo ya mwanamke is a disastre to her company. Mwalimu wangu mmoja alipropose kwamba ni bora na sahihi zaid mke akae ndani akilea watoto na kutunza mji, wakatimzee anachakalika kutafuta maisha, akirudi akute mwili laini na afarijike. Kuliko wote kuchakalika na kuwa musculine. Mkitoka shambani mtafute kujikanda maumivu.
Leka