Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
πππππππππ ukitaka uishi Kwa Amani mwanaume ujue haya :
1.ujue kumuandaa mwanamke na apewe haki yake aridhike
2.Apewe kadi ya manunuzi , apendeze anunue atakachoo, akupikie ule akuandae kwenda kazini .
3.ukirudi akupokee Kwa tabasamu zuri nawewe mwanaume urudishe tabasamu kuonyesha unamjali nakumpenda akuulize siku yako imeendaje na siku yake umuulize imeendaje ,akuogeshe ,umuogeshe,akulishe umlishe , mpeane vyenu ulale , apike Cha jioni mle akuandae , umuandae Kwa usiku mkalale.
4. Makosa yakitokea kama unampenda usimgombeze mrekebishe Kwa upendo,akuelewe moe haki yake nakila siku iwe style mpya za kumpendeza yeye . Walahi maisha nikupendana Carrasco putin I LOVE Y β€οΈ
1.ujue kumuandaa mwanamke na apewe haki yake aridhike
2.Apewe kadi ya manunuzi , apendeze anunue atakachoo, akupikie ule akuandae kwenda kazini .
3.ukirudi akupokee Kwa tabasamu zuri nawewe mwanaume urudishe tabasamu kuonyesha unamjali nakumpenda akuulize siku yako imeendaje na siku yake umuulize imeendaje ,akuogeshe ,umuogeshe,akulishe umlishe , mpeane vyenu ulale , apike Cha jioni mle akuandae , umuandae Kwa usiku mkalale.
4. Makosa yakitokea kama unampenda usimgombeze mrekebishe Kwa upendo,akuelewe moe haki yake nakila siku iwe style mpya za kumpendeza yeye . Walahi maisha nikupendana Carrasco putin I LOVE Y β€οΈ