Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
- #21
Kwa hiyo hakunagaNi kitabu cha Hadithi tulisoma shule miaka hiiooooo. Google
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo hakunagaNi kitabu cha Hadithi tulisoma shule miaka hiiooooo. Google
Naam Mama Kasema......Kwa hiyo hakunaga
Upo single??Naam Mama Kasema......View attachment 2516038
Tumekuwa kwenye mahusiano tofauti tofauti, tunasema tunachokijua.Who said so??
Mbona tunawafurahisha?
Muulize babe wangu namna navyomwimbiaga 😂😂
Au furaha ni mpk tuwape soksi na boxer?
Na wanawake tupo tofauti, usibisheTumekuwa kwenye mahusiano tofauti tofauti, tunasema tunachokijua.
Sibishi, au kulainisha mambo niseme labda mimi ndo sina bahati.Na wanawake tupo tofauti, usibishe
😂😂 Lol mwanamke sio kiumbe wa kuamini siku zote huwa ana asili ya usalitiSawa ila mkiachwa mnalalama
Nalala kitanda kimoja na binti WA MTU mwaka wa 15 kwenda 16 SasaUpo single??
🤣🤣🤣Mama bhanaNaam Mama Kasema......View attachment 2516038
Ni kweli shida yenyewe ni ya utimamu wa afya ya akili kwa kiingereza wanaita NPD.Wanawake wa sasa wana shida kubwa sana. Wanaamini katika mahusiano wao pekee ndo wanapaswa kupewa furaha. A very stupid mindset.
😁 nimesoma nikausikia ukiimba masikion mwanguLove Nwantiti by Ckay 💕
Nakariri mashairi hapa kesho nimuimbie mtoto wa mtu..