Mapenzi nayo yana misimu

Nimeusafiria sana moto, mwanza dom....nilikua mteja mzuri sana wa princess muro na princess shabaha mabus nlikua naona kama daladala tu.

Mi ndio maana naogopa kuzeeka kwasababu naogopa sitafanya mapenzi tena [emoji17][emoji17]
Hahaha, kama ulivyoeleza ni kweli basi unapenda kupelekewa moto sio poa. Wewe ukikutana na "mlemavu" kitandani lazima akukimbie.
 
Safiii
 
Hahaha, kama ulivyoeleza ni kweli basi unapenda kupelekewa moto sio poa. Wewe ukikutana na "mlemavu" kitandani lazima akukimbie.
Kabla hajanikimbia mi ntakua nshajikataa zamani, ntavumilia kulala njaa ila sio kukosa dudu la yuyu
 
Mbona umechelewa sana kuomba mkuu,subiri zamu Yako bas ngoja nipange ratiba😋
Na wewe hushindiw aisee nimekuvulia kofia hahahah...

Ukiambiwa karibu, ndani ya nusu Sasa unasikia hodiii nishafika... Hahaha
 
Depal acha kuzurura Jumapili yote hii kuja hapa uniambie penzi lako lipo level gani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…