Bhagavan
JF-Expert Member
- Oct 28, 2017
- 1,946
- 2,822
[emoji125][emoji125][emoji125] Nishakuogopa aiseeManake Mie napenda kuzibugia, nisije kumuua mtoto wa watu[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji125][emoji125][emoji125] Nishakuogopa aiseeManake Mie napenda kuzibugia, nisije kumuua mtoto wa watu[emoji23][emoji23]
Naomba nkubandue mkuu madam 🤣Tuzaliane means tubanduane mkuu
Nimeusafiria sana moto, mwanza dom....nilikua mteja mzuri sana wa princess muro na princess shabaha mabus nlikua naona kama daladala tu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ndio ile ukasema kila saa unatamani moto tu???
Ha ha haa,we dada wewe.🤜Nimeusafiria sana moto, mwanza dom....nilikua mteja mzuri sana wa princess muro na princess shabaha mabus nlikua naona kama daladala tu.
Mi ndio maana naogopa kuzeeka kwasababu naogopa sitafanya mapenzi tena 😔😔
Hahaha, kama ulivyoeleza ni kweli basi unapenda kupelekewa moto sio poa. Wewe ukikutana na "mlemavu" kitandani lazima akukimbie.Nimeusafiria sana moto, mwanza dom....nilikua mteja mzuri sana wa princess muro na princess shabaha mabus nlikua naona kama daladala tu.
Mi ndio maana naogopa kuzeeka kwasababu naogopa sitafanya mapenzi tena [emoji17][emoji17]
Shemeji ukiuza karanga usiogope kuonjesha 🤣🤣🤣Shemeji unawatia majaribuni wakulungwa watakujaribu Sasa hivi...
Wajue kipi hicho kinachongangaiwa Kwa miaka 11
SafiiiKama ilivyo msimu wa mvua, msimu wa baridi, kiangaz nk: Kupanda mahindi msimu wa kiangaz ni kujitakia[emoji26]
Mapenz nayo vivyo hivyo, msimu wa mapenz motomoto (ndo linaanza sasa), msimu wa mapenz vuguvugu (yaliyopoa), msimu wa mapenz ya kuvumilia a(hapa watu hujilazimisha kuendelea kuwa wapenzi)
Mkipita vipindi vyote Ivo ndo ufanye maamuz kama ni kuoana au kubebeana mimba au kujengeana nyumba maana mnakuwa na uhakika kwamba kweli mmeshibana. Siyo penz limewaka tu tayari umebeba mimba, umemnunulia gari yakipoa tayari lawama kibao.
Hakuna kisicho na mwisho bana. Uhai wenyewe una mwisho wake sembuse ......[emoji38][emoji119]
Kabla hajanikimbia mi ntakua nshajikataa zamani, ntavumilia kulala njaa ila sio kukosa dudu la yuyuHahaha, kama ulivyoeleza ni kweli basi unapenda kupelekewa moto sio poa. Wewe ukikutana na "mlemavu" kitandani lazima akukimbie.
JeshiiKho Kho Kho
Nilisharogwa Ili nisirogeke ndiyo maana mambo yangu nayajua mwenyewe...Nitakuendea Kwa mganga usinikimbie😜
Mnunuzi tayari kazikumbatia zote, hakuna kuonjesha mtu shemeji, watanogewa...Shemeji ukiuza karanga usiogope kuonjesha 🤣🤣🤣
Ndiyo mambo yako hayo, huonagi hatari kuisafiria...Ha ha haa,we dada wewe.🤜
Hapana Evelyn Salt ni shemeji yangu, akivuliwa nguo Mimi nitamvalisha Kwa kumsitiri aibu yake, siwezi kushiriki kumkagua...Ushaanza kutamani PAPUCHI ya shemeji🤔
Na wewe hushindiw aisee nimekuvulia kofia hahahah...Mbona umechelewa sana kuomba mkuu,subiri zamu Yako bas ngoja nipange ratiba😋
😁 Shemeji kama ShemejiHapana Evelyn Salt ni shemeji yangu, akivuliwa nguo Mimi nitamvalisha Kwa kumsitiri aibu yake, siwezi kushiriki kumkagua...
Ya shemeji hailiki maana vita yake hakuna wa kuiamulia...😁 Shemeji kama Shemeji
Dj Dj Dj tupigie hainaga ushemeji 🙊🙊🙊