Mapenzi ni 2 way traffic, stop being bitter

Kwa kweli mimi kuliko kuwa kwenye mahusiano kama hayo ni bora nibaki single hadi nakufa! African men demand a lot from their women more than they can give!
Unajiharibu ujue.....?!

No body will fix you.... Fix yourself before its too late......


We unasusa mapenzi..... Mapenzi ni chakula cha moyo na akili, ukisusa utaumia wewe mpenzi....... Imagine unasusa wenzako unaona wanaolewa wanakwenda kuanza maisha ya ndoa wewe unabakia kulalamika na kuongea kauli za hasira..... Pole sana.
 
Kwel ule msemo kwamba ikiwa mshahara wako ni 100K na mkeo nae ni 100k nyumban jumla mna 100k alikuwa anaongelea wanawake wa hivi
Mwanamke akiwa na laki mbili na mimi laki tano, hapo ndani tuna laki saba ukijumlisha na ile laki mbili nitakopa kwa mshikaji wangu...

Kimsingi ni kulishana matango pori maisha hatlyataki fujo....
 
Punguza jazba hii mada ni laini inatakiwa kujadiliwa kwa utulivu....
 
Mahitaji yanatofauti ila both wanaume kwa wanawake wanajitoa sana.... Kuwa mpole.... Maisha hayataki fujo
 
Preach on brother
 
Daaaah. We jamaa upo? Long time
 
Sasa wewe si ndie unayumba mama. Ishu ilioko mezani huijibu unazalisha maswali yasio na mpango. Kuna mwenzio aliomba aeleweshwe straight akawa na jibu. We unaranda randa!

Can you stand for your man financially without feeling bad about it?
Atakubadilishia swali ngoja aje
 
Wengi wa namna hiyo ya wenye ulemavu wa akili ya ndoa huwa wanatoka familia masikini anakuja kwa malengo ya kuchuma tu na kuondoka......
 
Hii mada imekuwa na ubishi mkali sana ambao hauna muafaka. League ndefu sana hii inaweza gonga miaka miwili
 
Wengi wa namna hiyo ya wenye ulemavu wa akili ya ndoa huwa wanatoka familia masikini anakuja kwa malengo ya kuchuma tu na kuondoka......
Hio tabia lazima ibadilike na kama haitoshi basi kila mtu a exercise uhuru wa kuchagua. I'll stick to my philosophy!

Anaeona hawezi kujitoa basi aende kwa Mo au Bhakressa akachume tu.
 
Ww naona hujaelewa mada ipoje,na kama umeelewa basi ni mmoja ya wanawake waliotajwa kwenye hiyo mada maana kinachozungumzwa ni tofauti kabisa na unachokiongelea ww.
Huyu binti kaamua tu kuja kuvuruga kikao....
 
Karma amepumzika tu sio kwamba kaacha, ipo siku atajikuta tu kadumbukia katika uhusiano [emoji28][emoji28][emoji28]
Wa sampuli hii ndio huwa wanakuja kukutana na wanaume vilaza huko mbeleni.

Sasa wewe unakuta kabinti hakajafika hata 20 Kameanza kusema wanaume ni mbwa, hivi wanaume amewajulia wapi, anatembea na wavulana badala ya kusoma anasema wanaume mbwa.
 
Kwa kweli mimi kuliko kuwa kwenye mahusiano kama hayo ni bora nibaki single hadi nakufa! African men demand a lot from their women more than they can give!
Hebu tupatie mifano hai ya demand za wanaume ambazo wewe zinakuchosha na kukufanya uone wanaume wanademand a lot from women?!
 
Ha ha ha
 
Mwanamke akiwa na laki mbili na mimi laki tano, hapo ndani tuna laki saba ukijumlisha na ile laki mbili nitakopa kwa mshikaji wangu...

Kimsingi ni kulishana matango pori maisha hatlyataki fujo....
huna chako pale....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…