Nimetoka kumpiga baby mama kizinga cha 500k kama utani Mzigo huu hapa,kuna ngedere 1 ilikua pembeni yangu nili iambia kama inanipenda kweli ininunulie Mdudu 1KG akaniambia yuko tayari anipe K ila sio atoe hela yake anipe mimi (mwanaume).
nikamwambia kaa tulia hapo hapo nikuonyeshe kitu kimoja,nikavuta simu nikampiga kizinga maza mjengo Maswali hayakua mengi nikaona "imethibitishwa",nikamuonyesha huyu ngedere ya pembeni angu,akaanza leta zake oooh,hiyo ilikua hela yako,ooh huyo sio mkeo n mfanyakazi wako,maneno kibao.
mwisho nikamwambia "nikwambie kitu" wewe ni maskini Jitahidi ufanye kazi kwa bidii sana sana Muombe Mungu akupe pumzi maana bado una deni kubwa sana hapa duniani,kama kawaida ake akaanza tena mbwembwe oooooh hata niwe bilionea bado msimamo wangu ni ule ule,nikamwambia hebu nenda huko jikoni kawambie watutengenezee mdudu watuletee hapa.