Mapenzi ni 2 way traffic, stop being bitter

Mapenzi ni 2 way traffic, stop being bitter

Komamanga siwezi kuja kumuokota wa hivyo! Kwanza hata nikimpata namuogopa..😂
Kinizidi hela si ntanyanyasika mimi na nilivyo mbavu mbili niwe tena mbavu mbili nyengine hiyo si itakuwa ni skeleton sasa!

Ila kusema kweli nje ya masihara mweka mada dunia unayoizungumzia binafsi sijawahi iishi! Na hata nikifikiri inaniwia ugumu maana hao viumbe nawapenda Ila siwaamini sana! Kukugeuka na kukuzarau tarajia kwa hali hiyo!.
Unajua hawa watu hutofautiana kwa malezi mkuu, kuna ambao wana roho safi (roho za kitajiri) na wengine wana roho za kwanini(roho za kimaskini).

If you come across a person with a rich heart na ambaye amelelewa vyema huwezi pata nae shida. Kuna watu wako more giving and trust me you need this kind of energy kufika peponi. Ukiwa na energy ya kujitoa pia hakika mapenzi yatakuwa ni mahali salama sana kwako.

Shida inayotukumba tunajitoa kwa watu ambao hawako tayari kujitoa ila kutunyonya. You end up looking silly.
 
Komamanga siwezi kuja kumuokota wa hivyo! Kwanza hata nikimpata namuogopa..😂
Kinizidi hela si ntanyanyasika mimi na nilivyo mbavu mbili niwe tena mbavu mbili nyengine hiyo si itakuwa ni skeleton sasa!

Ila kusema kweli nje ya masihara mweka mada dunia unayoizungumzia binafsi sijawahi iishi! Na hata nikifikiri inaniwia ugumu maana hao viumbe nawapenda Ila siwaamini sana! Kukugeuka na kukuzarau tarajia kwa hali hiyo!.
Acha uoga mkuu, stand like a man. Kila kitu kitakaa katika pattern. Ukiwa na sauti hata kama una 200 mwanamke ana 500 utamtuliza vizuri tu.
 
H
Tumekuwa tukiona mahusiano ya aina tofauti tofauti ila common yakiwa yale ambayo mwanaume wana economic muscles ila kutokana na mabadiliko ya tabia nchi sikuhizi pia kumejitokeza mahusiano mengi ambayo wanawake wana financial muscles hali iliopelekea mahusiano ambayo mke anakuwa anaziba gap kubwa kiuchumi hali ambayo imekuwa inachukuliwa in a very negative way.

Mwanamke anayespend hela kwa mume au mpenzi wake kwa roho safi its obvious anampenda kwa dhati...japo anaweza kuwa na madhaifu mengine ila kwenye huba yuko legit by 100%! She really loves and wants her man to feel great about it. Kila mtu anajua pesa ni kama spice katika mapenzi hunogesha na kuleta furaha zaidi thats why mtu haoni tabu kutumia pesa zake na mtu ampendae.

Tabu iko kwetu sie ambao tunafosi mapenzi kwa malaya wanaoishia kutuchapa invoice kwa foleni. Wengi tunaishiaga kuponda tu kama kawaida yetu na kuwaita watu Marioo ila ukweli ni kwamba wapo wanaotamani hio bahati ya kupata penzi la dhati ila huwatokea ME wachache. The same goes to wadangaji wanaoponda na kushangaa wanawake wenzao wanawapaje hela wanaume zao bila kujua kuwa roho za kimaskini na kukosa access na hela ndio mtihani walio nao.😂😂😂

Kitu najiulizaga kama mapenzi ni ya wawili and involves 2 way traffic iweje mwanaume kumpa hela mwanamke iwe halali ila mke kumpa mume hela iwe kosa? Justify!
Hebu fafanua
 
Me naomba unisaidie hapa ...mtu ni mpenzi wako wa miaka mingi tu anakupa hela lakini anakupa masharti ya ile hela ...ukivunja masharti tu ...anakudai hela yake tena kwa vitisho hii imekaaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mpenzi wako hana sifa ya kuitwa mpenzi. Huyo ni muwekezaji tu kama walivyo mabepari.
Mtu anayekupenda hakuwekei sanctions au conditions 😂😂😂
 
H
Hebu fafanua
Mapenz yanahusisha kutoa na kupokea.

Miaka ya nyuma wanaume walijitoa zaidi huku wanawake wakiinjoy matunda ya kupokea tu ila utandawazi na milango ya fursa kwa wanawake imepelekea wanawake wengi sikuhizi kuwa na uwezo mkubwa kiuchumi kuliko wanaume kiasi kwamba nao wanajitoa sana kuwapiga jeki wanaume zao.

Ila cha ajabu wanaume hawa wanadhiakiwa kwa kuitwa majina ya ajabu kama vile wanawake kusaidia waume zao ni kosa! Toa maoni yako kuhusu hilo?
 
Bora mkuu, hapo palikuwa hamna mtu kabisa. Ukiona upo na mtu kila kitu anaita changu jua ni selfish na atakusumbua sana maishani. Nature yao hawa hupokea tu sio kutoa

Simu yangu,hela yangu, gari langu, vitu vyangu, nyumba yangu, vyombo vyangu!
Ogopa sana mtu ambaye kauli hizo hazimkauki kinywani.

Na ninaogopa sana mtu wa hivyo, kuna siku alisema nataka nije kuwa na kwangu nijenge nyumba yangu peke yangu nikamuangalia tu akaendelea kusema nije kuwa na watoto wangu nikamuuliza hao watoto atawanya kama anakuwa na ubinafsi kiasi hicho? Apo kidogo akatulia kimya ila malezi ya mzazi mmoja yanachangia sana hawa dada zetu kuwa na ubinafsi hasa kama kalelewa na mama ambae ameachika.
 
Mwanaume kumuogopa Mwanamke mwenye kipato ukidhani kua atakudharau huo Ni udhaifu hujiamin kabisa.
Mapenzi ya kibongo fanya uwezavyo acha Mwanamke akupende Sana Mwanaume.. sio Mwanaume umpende Mwanamke Sana utaishia kilio ..!

Jiulize kwa nn Mwanaume anaejikutaga anajua ku care Sana yani mwanamke asitake nn lazima apewe hao wanaume wanaishiaga vilio na usaliti mkubwa plus kujinyoga juu?

Ukiwa na Mwanamke yeye anachoweza ku offer kwako Ni kupanua mapaja tuu ohhh wafwaa....!
Mapenzi Ni two ways traffic yani mpeane ..!
Siwezi ku date mwanamke omba omba..! Siwezi date mwanamke aliyejiwekea fikira kwamba Mwanaume Ni provider wa kila kitu dunia hii..!
Siwezi ku date mwanamke fukara na maskin kwa sababu Hawa watapoteza nyota yako na badala ya upige hatua kwenda mbele utakua unapiga reverse tu ..matatizo ya familia yake atakuletea wewe bado na yeye ana shida zake ...binti mko kwenye mahusiano wiki mbili utaskia mama kalazwa mara mdogo wangu kafukuzwa shule ...! Ajabu li mwanamke Kama hili unalisaidia badae linakusaliti..!
Siwezi kumuogopa Mwanamke kisa kanizid kipato as long as najua Mimi Ni Mwanaume na sio Marioo ataishi chin Yangu nikiongea lazima ajue kua Mwanaume ameongea.Na lazima tupeane mapenzi Safi kabisa bila upande wowote kuumia

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Mi bhanaaa kuna moja kanipenda Sanaa.
Ila sasa huyu dada alikuwa na pesa Sana na ukweli alikuwa anamwili mzuri ispokuwa alikuwa kujichubua.

Ndinga nzuri tuu haria yake maskini tako la nyani basi mwanaume Nika Naswa na dada huyu.Japo ki ukweli Moyoni hata hakuwepo wala niniii.Ila maisha mazuri pesa yake Gari yake Mzee Baba nikawa Mario ki ukwelii.Dada akawa anafunguka Sana Shida zake Ila Mimi na mchora tuu.

Ila sasa Mimi kila nikimuoneshea sign kama simuelewi anatumia pesa nyingi kama kunifanya nimpende basi mwanaume ikanibidi niwe mpole niendelee Kula mzigo na Haria metallic colour kuzunguka nayo town huku bi mama anaanda chapati na Supu ya kuku wa kienyeji bhana.

Ila nashukuru Mungu kutoka kwenye huu mtego maana bi dada alikuwa anakaba mpaka kero alafu ukimcheki viwango hanaa.Halipi lakini hiyo ela ndo ilikuwa inanizuzuaa bhanaa dah.

Yaan akitoka Job hataki nikae mbali nae nlipata taabu [emoji23][emoji23][emoji23]

Ila dah afadhali maisha ya Umario ya Kisengerema sanaaa.
Daaaah. Hongera na pole. Status sasa ikoje mzee Baba?
 
Na ninaogopa sana mtu wa hivyo, kuna siku alisema nataka nije kuwa na kwangu nijenge nyumba yangu peke yangu nikamuangalia tu akaendelea kusema nije kuwa na watoto wangu nikamuuliza hao watoto atawanya kama anakuwa na ubinafsi kiasi hicho? Apo kidogo akatulia kimya ila malezi ya mzazi mmoja yanachangia sana hawa dada zetu kuwa na ubinafsi hasa kama kalelewa na mama ambae ameachika.
Hahahah kudadadeki hapo ilikuwa noma mzee mwenzangu. Huyo bila shaka malezi hayakuwa na baba kabisa. Wanawake waliolelewa na baba zao kwa upendo huwa wanakuja kupenda sana waume zao pia esp. wanaoonesha kujali.
 
Hela ya mwanamke ni ya kuogopwa sana, unaweza mpa mwanamke wako 100k then baadae kdgo mkapata changamoto mfano luku ikaisha ukamuomba akupe elfu 5 kwenye hela uliyompa ili utatue hiyo changamoto(mfukoni huna kitu una nauli ya kuendea kwenye mishe zako tu). Atakupa lakini ndani itamuuma sana nasema ivi kwa experience mkuu hela ya Ke ni chungu mno ndio maana hata wengi zawadi zao kwa wanaume wao ni vitu vidogo dogo tu [emoji23][emoji23] tusoksi twa buku.
Daaaah [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti tusoksi twa buku.....usisahau na tuboksa twa buku tatu jero [emoji28][emoji23]
 
Hahahah kudadadeki hapo ilikuwa noma mzee mwenzangu. Huyo bila shaka malezi hayakuwa na baba kabisa. Wanawake waliolelewa na baba zao kwa upendo huwa wanakuja kupenda sana waume zao pia esp. wanaoonesha kujali.

Kalelewa na mama kwa mda mrefu nahisi nayeye kalishwa sumu ya maneno kuhusu wanaume bila kujua ukweli kuhusu wazazi wake kutengana, hajali kuhusu upendo kwa mwanaume na nililijua hilo kwa sababu mengi anayosema reference ilikuwa baba yake.
 
Mwanaume kumuogopa Mwanamke mwenye kipato ukidhani kua atakudharau huo Ni udhaifu hujiamin kabisa.
Mapenzi ya kibongo fanya uwezavyo acha Mwanamke akupende Sana Mwanaume.. sio Mwanaume umpende Mwanamke Sana utaishia kilio ..!

Jiulize kwa nn Mwanaume anaejikutaga anajua ku care Sana yani mwanamke asitake nn lazima apewe hao wanaume wanaishiaga vilio na usaliti mkubwa plus kujinyoga juu?

Ukiwa na Mwanamke yeye anachoweza ku offer kwako Ni kupanua mapaja tuu ohhh wafwaa....!
Mapenzi Ni two ways traffic yani mpeane ..!
Siwezi ku date mwanamke omba omba..! Siwezi date mwanamke aliyejiwekea fikira kwamba Mwanaume Ni provider wa kila kitu dunia hii..!
Siwezi ku date mwanamke fukara na maskin kwa sababu Hawa watapoteza nyota yako na badala ya upige hatua kwenda mbele utakua unapiga reverse tu ..matatizo ya familia yake atakuletea wewe bado na yeye ana shida zake ...binti mko kwenye mahusiano wiki mbili utaskia mama kalazwa mara mdogo wangu kafukuzwa shule ...! Ajabu li mwanamke Kama hili unalisaidia badae linakusaliti..!
Siwezi kumuogopa Mwanamke kisa kanizid kipato as long as najua Mimi Ni Mwanaume na sio Marioo ataishi chin Yangu nikiongea lazima ajue kua Mwanaume ameongea.Na lazima tupeane mapenzi Safi kabisa bila upande wowote kuumia

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Mkuu katika mabaharia wewe nakuweka kwenye kundi la "enlightened" yani maana yake umefikia level ya juu kabisa ya kujitambua.

Watu sijui kwanini hawaelewi kwamba ili uinjoy mapenzi lazma uwe na mtu anayejitoa pia. Mtu anayejitoa kwako automatically lazima atakuwa na mapenzi ya dhati na wewe. Ukiwa wewe unajitoa pekeako ndio shida nyingi huanzia hapo. Wanaume tumeumbwa na kipawa cha kujitoa sana hilo halina upinzani ila effort zote ni bure kama utakuwa na mwanamke mbinafsi na asie na shukurani.

Tumeumbwa kuwatawala wanawake hilo lipo kiasili hivyo kuogopa uwezo wa mwanamke kiuchumi ni ubabaifu tu as long as kwenye chujio la ubinafsi amepenya you have yourself a patner.
 
Sawa ila urijali hauhusiani na ku provide zaidi. Urijali ni kutungisha mimba.

Mke yuko PSI ana earn 7M kwa mwezi wewe uko kwa mchina una earn 1.5M na mwanamke kakuelewa mnapendana. She spoils you with her clean heart. You go places, mnapanga strategic plans na ku execute mchango mkubwa ukitoka kwa mke. Hali ikiwa hivi walimwengu wanachukia? Why?[emoji23][emoji23][emoji23]?

Personally mke au mpenzi anaeweza ku spend hela yake on you anakupenda kweli because most women can't do that! Hata wewe kama unaumia hela yako ukimpa mpenzio you must be damn selfish.
Mkuu hapa msumari umeingia vizuri kabisa. Nimekusoma sawasawa
 
Kalelewa na mama kwa mda mrefu nahisi nayeye kalishwa sumu ya maneno kuhusu wanaume bila kujua ukweli kuhusu wazazi wake kutengana, hajali kuhusu upendo kwa mwanaume na nililijua hilo kwa sababu mengi anayosema reference ilikuwa baba yake.
Chuki mbaya sana hio dah, mungu amsaidie kwa kweli
 
Daaaah [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti tusoksi twa buku.....usisahau na tuboksa twa buku tatu jero [emoji28][emoji23]

[emoji23][emoji23] hatari mkuu ndio hapo nkaanza kuamini kuwa wanawake wengi hawana cha kuoffer kwa mwanaume zaidi ya Kei(sex) lakini bado hata hicho kuna baadhi bado wanaminya sana na huku bado wakihitaji wahudumiwe/wagharamiwe.
 
Back
Top Bottom