Mapenzi ni 2 way traffic, stop being bitter

Mapenzi ni 2 way traffic, stop being bitter

True.... Ila unajua umasikini wa maarifa na hekima kwa mwanamke ni mbaya sana kuliko umasikini wa kipato kwa mwanaume.
And what makes you think kwamba ninyi wanaume hapa ndiyo matajiri wa maarifa? Pathetic!
 
Anahisi tupo kwenye midahalo ya ITV kipindi cha mgongano wa mawazo....
Oohh kwahiyo mlitaka tukubaliane na kila mnachosema hata kama tunaona kabisa kuwa hapa mmeingia chaka? Wanawake wa kiafrika kazi tunayo maana siyo kwa hii mizigo tuliyopewa!
 
Na mwijaku. Kwenye page za hawa jamaa mwanamke ni malaika ambaye hakosei, hasaliti, anaumizwa hisia haumizi, ananyanyaswa.......

Kitu wasichojua ni kuwa katika biashara yoyote jambo muhimu ni kumtengenezea mteja wako story itakayomvutia....
Kwani huku JF wanaume huwa mnafanya nini? Kwa mujibu wa wanaume wa huku JF ni kuwa mwanaume ni malaika hakosei na hata akikosea ni bahati mbaya tu au hata akikosea kwa makusudi basi ni haki yake sababu tu ni mwanaume!
 
Mke yuko PSI ana earn 7M kwa mwezi wewe uko kwa mchina una earn 1.5M na mwanamke kakuelewa mnapendana. She spoils you with her clean heart. You go places, mnapanga strategic plans na ku execute mchango mkubwa ukitoka kwa mke. Hali ikiwa hivi walimwengu wanachukia? Why?😂😂😂?
Nature haijawai kuruhusu kitu kama hicho ndio maana jamii inakushaa......Masculinity(Alpha male) automatically hata kama ke anapesa nature itakataa kutumia pesa ya Ke!!! Sijui umenielewa

Kasome Semen retention benefits
 
Huo huo utoto ndiyo ambao wanaume wengi mnaufanya kwenye mahusiano ya sasa! Yaani imagine mtu anakuambia maandiko yanasema mwanaume aliambiwa atamtawala mwanamke hata iweje!

Basi haya ukimleta kwenye maandiko hayo hayo ukamuambia yanasema kuwa mwanaume atakula kwa jasho lake anaanza kuleta kiswahili kirefu oohh sijui kuna kukwama kwenye maisha sijui nini! Sasa kwani muumba alipotamka hayo hakujua kuwa kuna kukwama kwenye maisha au ni nini!
Diiiiiiih
 
Nimelock curse upo her..... My soul ime sign vengeance kumuelekea, sijawahi kumwish mtu hell kama yeye.... And i wait for the day....
Haya mambo ujue yanaendaga mbele na kurudi nyuma. Ukiachana na mtu wish them well ndipo mema pia yatakapokujia. These things are natural and very biblically sound and straightforward.
Trust me.
If you do that (what you are currently doing) you will end up miserably sick to your spirit.
Move on and move on
 
Ah hawa bila kuenda nao sawa wanajifanya hawaelewi! Hata hapa wameshaelewa ila kukubali sasa ndiyo ishu!
Kuna wakati tunakubali ili mshinde but deep down we know the reality. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Oohh basi tufanye hivi hata kwenye suala la mwanaume kumtawala mwanamke tusiende kwenye maandiko tuyaweke pembeni kabisa halafu nikuulize hili swali! Kama mwanaume na mwanamke wote wanahudumiana na wote wanachangia bills pasu kwa pasu au pengine mwanamke ndiyo anatoa zaidi hapo utasema huyo mwanaume ni kichwa cha familia na kama jibu ni ndiyo je ni kwa misingi ipi?

Kumbuka tumetoka kwenye maandiko tumewaachia kina gwajima! Sasa tunatumia logic na tunaangalia hali halisi!
Bado mwanaume ataendelea kuwa kichwa cha familia maana there's no way mwanamke akatoa nusu kwa nusu. Naturally that wouldn't occur. Safety provision anayotoa mwanaume haiwezi kuwa equated na mwanamke hata kidogo. A man will always provide extra what woman can provide.
That's bottom line
 
Bado mwanaume ataendelea kuwa kichwa cha familia maana there's no way mwanamke akatoa nusu kwa nusu. Naturally that wouldn't occur. Safety provision anayotoa mwanaume haiwezi kuwa equated na mwanamke hata kidogo. A man will always provide extra what woman can provide.
That's bottom line
Bro you need exposure! Kuna wanawake out there tunawajua wanatoa nusu kwa nusu na wanaume wao na wengine wanatoa zaidi kuliko wanaume wao ila tu wanashindwa kusema wanawafichia aibu wauname wao!
 
Hela ya mwanamke ni ya kuogopwa sana, unaweza mpa mwanamke wako 100k then baadae kdgo mkapata changamoto mfano luku ikaisha ukamuomba akupe elfu 5 kwenye hela uliyompa ili utatue hiyo changamoto(mfukoni huna kitu una nauli ya kuendea kwenye mishe zako tu). Atakupa lakini ndani itamuuma sana nasema ivi kwa experience mkuu hela ya Ke ni chungu mno ndio maana hata wengi zawadi zao kwa wanaume wao ni vitu vidogo dogo tu [emoji23][emoji23] tusoksi twa buku.

Jamanii [emoji1787][emoji1787]
Hakuna watu bahili kama wanawake
Tumeumbwa kupokea tu
 
Na ninaogopa sana mtu wa hivyo, kuna siku alisema nataka nije kuwa na kwangu nijenge nyumba yangu peke yangu nikamuangalia tu akaendelea kusema nije kuwa na watoto wangu nikamuuliza hao watoto atawanya kama anakuwa na ubinafsi kiasi hicho? Apo kidogo akatulia kimya ila malezi ya mzazi mmoja yanachangia sana hawa dada zetu kuwa na ubinafsi hasa kama kalelewa na mama ambae ameachika.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mlikuwa hamjaoana ndio maana anasema vyake
 
Nowdays wanaume wanapenda kitonga balaa maisha yanabadilika jamani
Nashukuru wangu hanaga habare na visarafu vyangu navyopata
Huwa unamsaidia anapokwama kama ameshawahi kukwama au ndio kila mtu anakufa na chake?
 
Wala sina la kujifunza hapo nimeshajifunza mengi kupitia mahusiano ya watu hivyo siwezi kusubiri hadi yanikute mimi ndiyo nijifunze! Kwangu mahusiano nilishayapiga stop hata kabla sijaanza kupitia ambayo watu wengi wanayapitia hivyo hakuna kinachoweza kunibadilisha msimamo wala mtazamo wangu!
Mahusiano uliyapiga stop Sasa unaishije? Binadam wa kawaida kwichi kwichi Ni muhimu na Ni lazima..! Twambie waishije bila mchenjuo? Au we lesbian ?

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom