Mapenzi ni matamu sana ukiyapenda tufanye mapenzi ni rutuba ya akili, utulivu na amani

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Acha tuambiane ukweli usikose mapenzi na kufanya mapenzi uko hatarini kuwa mwehu na kukosa afya akili, unapungukiwa furaha na amani, unakuwa zobe, zuzu, bwege, unakuwa kichaa unajawa na hasira hasira, kununa, kususa, umbea mwingi, unakosa focus na concentration ya kufikiria vizuri.

Damu inakosa kutembea vizuri kwenye njia zake kwa usahihi.

Niwaambie tu mapenzi ndio maisha na mapenzi ndio kuishi,
Naomba ifahamike tuunge mkono kauli mbiu ya kataa kuoa kataa ndoa kwa maana ukiwa bachelor mwenye vibe lake ndio utafurahia mapenzi

Tukutane kwenye comments

Wadiz
 
Wengine wanasema eti ni dhambi


Yaani kumfurahisha mwenzako iwe dhambi???


Dhambi ni kumchukiza mtu sio kumpa raha
Mapenzi ni Nuru mapenzi ni uhai na mapenzi ni kielelezo kuwa mbinguni kura Raha na amani
 
Toka niambie humu, Sex is overrated, nyuzi za ngono ngono aka siandiki tena 😆😆🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…