Mapenzi ni sumu kaliiii, nisaidieni!


Umekasirika vibaya, ushauri hujatoa.
Matusi umemimina, hakuna kilichoeleweka.
hufai kuitwa Greti thinker, magonjwa yamekunasa
ungeenda Loliondo, kikombe kikusaidie.
 

Wewe na huyo msichana wote ni Madebe Matupu au Maji Taka!!!

Mzazi anakula dagaa kumsomesha mtoto, bado hajamliza hata kidato cha nne wewe unatangaza ndoa? Stupid boy!

Na nitahakikisha nakufuatilia na kujua kama hiyo azma yako itatimia! pumbavu mkubwa!
 
Mimi nimeumia saaaana kugundua uyo binti ni form four, ushauri ninaokupa usikilize kwa makini
Kwanza mpe mtoto nafasi aweze kujiendeleza na mapenzi yapo tu na yataendelea kuwepo. Uyo msichana anamapenzi ya kitoto so angalia mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…