INRI
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 1,324
- 2,319
Habari wana MMU.
Naomba nisimulie yaliyonipata siku ya jana Jumapili.
Nina mpenzi wangu tumekuwa kwenye mahusiano hata miezi minne haijafika. Kiukweli nilipenda haswa mpaka muda huu, naye nafahamu alinipenda sijajua baada ya hili tukio la jana.
Tukio lenyewe ni baada ya kuchukua simu yangu na kuperuzi baadhi ya apps. Sikupanick nikamuachia. Baada ya kumaliza, si nikashika ya kwake bhana wee, hapo ndio vagu lilipoanzia. Kawa mkali sikujali nikasoma normal texts, kuna mtu anapenda kuchat nae, nikaona jina lake.
Muda si mrefu akawa kanipora simu, nikaomba niangalie sms, akanionesha ila roho haikukubali nikajua tu kuna chats huwa anafuta. Bhasi na mimi nikapata hasira sana, kuona kwanini anakuwa mkali kushika simu yake. Mida ya jioni nikamjibu kwa hali ya kuonesha nimechoka. Nikatimuka zangu home.
Akaniandikia ujumbe wa jinsi ninavyotaka mtu perfect wakati ni ngumu. Akanitakia kila la kheri kwasababu nilimjibu kifupi. Sasa tangu natembea, nipo kwenye usafiri kurudi home, namuwaza yeye tu afu roho inauma nikikumbuka moments zetu. Yaani niliishiwa nguvu.
Nikapita duka la madawa nikanunua Valiums kwaajili ya kupata usingizi. Ndio nikalala. Nimeamka asubuhi nikiangalia juu chini ni yeye tu. Dah!
Uvumilivu umenishinda, yanini kuteseka hivi, nimemcheki muda si mrefu kwamba nilikosea nasubiria anijibu.
Kweli ukiona watu wanakunywa sumu, kujinyonga na kutoa uhai usishangae.
Mapenzi yana-run Dunia.
My take: Mliopo kwenye mahusiano, mjifunze kusikilizana na ku-reach resolutions kuliko kujiona wewe ndio upo sahihi.
Good Monday.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nisimulie yaliyonipata siku ya jana Jumapili.
Nina mpenzi wangu tumekuwa kwenye mahusiano hata miezi minne haijafika. Kiukweli nilipenda haswa mpaka muda huu, naye nafahamu alinipenda sijajua baada ya hili tukio la jana.
Tukio lenyewe ni baada ya kuchukua simu yangu na kuperuzi baadhi ya apps. Sikupanick nikamuachia. Baada ya kumaliza, si nikashika ya kwake bhana wee, hapo ndio vagu lilipoanzia. Kawa mkali sikujali nikasoma normal texts, kuna mtu anapenda kuchat nae, nikaona jina lake.
Muda si mrefu akawa kanipora simu, nikaomba niangalie sms, akanionesha ila roho haikukubali nikajua tu kuna chats huwa anafuta. Bhasi na mimi nikapata hasira sana, kuona kwanini anakuwa mkali kushika simu yake. Mida ya jioni nikamjibu kwa hali ya kuonesha nimechoka. Nikatimuka zangu home.
Akaniandikia ujumbe wa jinsi ninavyotaka mtu perfect wakati ni ngumu. Akanitakia kila la kheri kwasababu nilimjibu kifupi. Sasa tangu natembea, nipo kwenye usafiri kurudi home, namuwaza yeye tu afu roho inauma nikikumbuka moments zetu. Yaani niliishiwa nguvu.
Nikapita duka la madawa nikanunua Valiums kwaajili ya kupata usingizi. Ndio nikalala. Nimeamka asubuhi nikiangalia juu chini ni yeye tu. Dah!
Uvumilivu umenishinda, yanini kuteseka hivi, nimemcheki muda si mrefu kwamba nilikosea nasubiria anijibu.
Kweli ukiona watu wanakunywa sumu, kujinyonga na kutoa uhai usishangae.
Mapenzi yana-run Dunia.
My take: Mliopo kwenye mahusiano, mjifunze kusikilizana na ku-reach resolutions kuliko kujiona wewe ndio upo sahihi.
Good Monday.
Sent using Jamii Forums mobile app