Acha mkuu naona watu wanavyojibu kirahisi.Sentensi ya kwanza mwishoni baada ya coma.
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Mbona unaongea kama ndio mtendwa?Umebipu kakupigia unalialia Nini Sasa tulia..mkirudiana atakuendesha kishenzi..maana amejua wew ukoje
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mzazi.Eti naangalia juu namuona yeye tu... wap pumbav adui mkubwa wa maisha yako ni mawazo yako mwenyew acha kuwaza waza na kuvipa kipaumbele vitu vinavyokuumiza badilisha hayo mawazo.
Ahsante mkuu
Kwenye simu nakuunga mkono.Katika vitu vinavyoongoza kuvunja mahusiano karne hii ya sasa basi ni simu na vitanda,,,,........ Mjihadhari na hivyo vitu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa dogo unataka kutufundisha sisi watu wazima? umelikoroga pambana na hali yako. Halafu nyie watoto wa sekondari siku hizi mmekuja na mitopiki ya kimama sana. Nataka kuacha kuingia JF mpaka shule zifunguliwe ndio narudi
Katika vitu vinavyoongoza kuvunja mahusiano karne hii ya sasa basi ni simu na vitanda,,,,........ Mjihadhari na hivyo vitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuu
Huwezi kuelewa haya mambo.
Nafikiri muda mwingine nitakuwa na moyo wa chuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mwanzo na mwisho kugusa simu yake.Watu wazima wana msemo wao simu ya mwenza siku zote huwa ni sawa na kitunguu hivyo ukiishiriki lazima ikutoe machozi.
Nipo middle twenties mkuu.Una miaka mingapi ndugu yangu kwenye hili jamvi la mapenzi ?
Happy dude [emoji67][emoji538]
Angefahamu ni graduates tayari na mwenye kufanya mambo makubwa kiufanisi lakini mapenzi ndio yananifanya nionekane mtoto.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii reply yako mkuu imeniganya nicheke utadhani ni mazuri au yanachekesha unayo yaongea lahasha ila vile ulivyoingia kama bigi ambaye unamjua jamaa kuwa ni mdoho na ni form two aliyefunga shule
Happy dude [emoji67][emoji538]