Mapenzi nimeyanyooshea mikono

Simu sawa
Kitanda tena ??? My wangu Zesh tafdhari fafanua


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
Zamani wazee wetu walikua wanachonga vitanda futi Tatu na nusu au Tatu, wakigombana mchana usiku Muda wa kulala lazima watagusana sababu kitanda kidogo, ule mgusano utaendelea mpaka watapeana mambo ya Kikubwa na kuombana msamaha maisha yanasonga.

Sikuhizi mavitanda ni nane kwa kumi huko, sita kwa sita, hata mkigombana usiku kila mmoja analala pembeni huko yaani mashariki na magharibi, hamgusani japo kuleta hisia tofauti mnalala hivyo kila siku hakuna kinachowasukuma kuombana msamaha...... Ndio maana wa kasema vitanda vinachangia hivyooooooooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi sheria ya matumizi ya BANGE haijapitishwa bado...........tena iwe lazima kuvuta ukiwa standard 6........mjifunzage na kupiga PUNYETO vijana.......demu mzuuuriiii unamscan unapiga bao za hatari .......kiroho safiiii
 
Inatosha nikuite mjinga wa mapenzi,

In short ww Bado dogo Sana kwenye mahusiano, afu uyo atakuwa first love wako,

Eti unaomba msamaha kwa makosa yasiyo yako, et unaambiwa huwezi mpata perfect, basi atakuwa anatumia kigezo hicho Cha kutokuwa perfect kukucheat, maana umedisplay udhaifu wako.

Sikulaumu kwa huu udhaifu wako maana sote tumejifunza kupitia udhaifu.

Lakini ukweli uujue kwamba your girl anakutake for granted.

Iam sure mda si mwingi utarudi kuomba ushauri.

Dogo kataa kuongozwa na hisia, jebu tumia na ka akili kidogo.

Alafu inaonekana ww umependa Sana kuliko anavokupenda wewe.

Lastly Rudi shule usome.
Abstain sexual intercourse.
Shukrani amenijibu positively japo nae mwanzoni wakati ananijibu alianza kuonesha hayupo tayari ndipo baadae kaanza kukubali tuonane uso kwa uso.

Lesson learned aysee. Duh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
@Akilitime,Kuwa perfect hakumaanisha kuhusu cheating.

Kuna vitu nilitaka kumbadilisha, ndio maana akasema kuwa ninataka mtu perfect yaani kila kitu nimbadilishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake ndiyo wenye hiyo tabia.

Atashika simu yako weeee atakavyo na walivyo na wivu kama nyegere akiona jina la kike atalirudiarudia mara kumi kulisoma.


Sasa subiri ushike yake kwa bahati mbaya......ila mwanamke anaweza kuchat na mwanaume kwa week wasionane wala kugegedana ila sisi labda uwe boya boya maana week ni mbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…