Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16] akirud anapumzika kidogo alafu anaamsha tena, haya mambo ni hatar sana ukiachwa kubali tu anza upyaCjawah umizwa kama term hii dah! Aiseee! Nang'onoka bt still namkumbka tu I wish uko aliko atoswe ili arejee kwangu mwamba!!
Miaka 10 bado tu anazunguka kwenye akili yako hakika ulimpenda sana.Niliwahi kuwa na dada mmoja hivi, stori yake nimeilezea sana huku, siku tunaachana mimi ilinichukua miaka mitano kuamini kweli sipo naye tena, mpaka sasa mwaka wa kumi, pamoja na kuwa nimeoa lakini sina uhakika kama nimesahau moja kwa moja.
Kusema ukweli nilimpenda, lakini hawa wenzetu hawako serious kwenye uhalisia, wale wanaopenda hasa ndio wanaowazingua.Miaka 10 bado tu anazunguka kwenye akili yako hakika ulimpenda sana.
Ni kawaida hata mimi mwanamke niliyempenda sana ndio aliniumiza vibaya mno tena bila hata sababu yeyote ya msingi.Kusema ukweli nilimpenda, lakini hawa wenzetu hawako serious kwenye uhalisia, wale wanaopenda hasa ndio wanaowazingua.
Badala yake wanaangukia kusiko.
Umemaliz mkuuKama wewe ni mwanaume utaweza kumsahau huyo kwa kuwa malaya(yes umalaya unasaidia kupunguza maumivu na kumbukumbu mbaya za mapenzi)..Yaani namaanisha uwe playboy wewe wachape tu,chapa chapa chapa hiyo ndio njia pekee ya kumsahau aliyekutenda(kwa mwanaume lakini)..Muhimu katika hii ishu uwe vizuri financially na uzitafute pesa haswaaa maana mwenye pesa mapenzi huwa hayamuumizi kiviiile watakuja raia hapa watanipinga wengine watasema magonjwa hatukatai hapa akili lazima iwe kumkichwa chovya kwa tahadhari...HAKIKA UTAMSAHAU
Nafikiri concept ya kuwa malaya si good idea.Kama wewe ni mwanaume utaweza kumsahau huyo kwa kuwa malaya(yes umalaya unasaidia kupunguza maumivu na kumbukumbu mbaya za mapenzi)..Yaani namaanisha uwe playboy wewe wachape tu,chapa chapa chapa hiyo ndio njia pekee ya kumsahau aliyekutenda(kwa mwanaume lakini)..Muhimu katika hii ishu uwe vizuri financially na uzitafute pesa haswaaa maana mwenye pesa mapenzi huwa hayamuumizi kiviiile watakuja raia hapa watanipinga wengine watasema magonjwa hatukatai hapa akili lazima iwe kumkichwa chovya kwa tahadhari...HAKIKA UTAMSAHAU
Dah!!!Niliwahi kuwa na dada mmoja hivi, stori yake nimeilezea sana huku, siku tunaachana mimi ilinichukua miaka mitano kuamini kweli sipo naye tena, mpaka sasa mwaka wa kumi, pamoja na kuwa nimeoa lakini sina uhakika kama nimesahau moja kwa moja.
Pole sanaNiliumizwaga kipindi hicho nikiwa na miaka 24, ikanichukua kama miezi miwili kuwa sawa.
Ila tokea hapo ni KUTOMB* tuuu.
Tokea niwe na miaka 24 mpaka leo 32 SIJAWAHI TENAA KUMWAMINI MWANAMKE.
I have never again and I will never again TRUST A GIRL or a WOMAN.
#YNWA
Usirudi nyuma, songa mbele kama CCMCjawah umizwa kama term hii dah! Aiseee! Nang'onoka bt still namkumbka tu I wish uko aliko atoswe ili arejee kwangu mwamba!!
mkuu hali ni tende ni vyema kuwa 👉👀Kama nmekuelewa hivi mwamba!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tafuta pesa hakuna atakayekusumbua lakini pia kitandani upige mashine kweli kweli Ili hata akitaka kukuacha anafikiria namna unavyomhonga na kumshighukia kamwe hataweza kusepaVipi imewahi kukutokea hii, yani ulikuwa unampenda sana mtu Then hakukuoa/hakuolewa na yeye. Akaja akaoa/akaolewa na Mwingine kabisa?
Kuna vitu vinaumiza sana sio siri.