Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha mbali sana kabla ya shetani hajaleta Sms na baadae kaua burandi kwa kuleta facebook, instagram na WhatsApp
🤣🤣 Yawezekana demu alikuwa hajui kuandika! Maana tunawajua wanafunzi ambao hawakuwa wakijua kuandika kazi yao ilikuwa ni kuchafua madaftari.Bro wangu aliwahi andikiwa Waraka wa Petro
Ile haikua barua ulikua waraka yaan demu aliandika makaratasi saba yaan makaratasi saba ,( kurasa 14)
Jamaa alisoma tatu, yanne akasema eeeyiiii akachoma moto.
Demu mwenyewe alishaolewa na Mwana mwingine.
🤣🤣🤣 Kwanza hata kuchora maua hawajui!Kipindi naakili za nungunungu niliandikiwa barua nikaichomaga Moto!,nilivyo katili sikumjibu chochote baadae Sana nilikutananae alitupia tumaneno Kama bango fulani hivi nililipata nikatulia kimyaa.. ile barua niliitunza kabla sijaichoma kila siku naisoma tu!..😁 sikuhizi baadhi ya dada zetu hawajui hata kuandika just imagine anaandika hivi "Nkutaka 2we pamoko uskatae omba langu tajnyonga!" Wa hivi ukimtia mimba et anakimbilia ustawi wa jamii!.
Wakati wale wa barua walifurahi kuwa na mimba yako atalea kwa raha na shida!.
We acha tu.. ila wakwangu anajua Tena ni hodari ati..😊🤣🤣🤣 Kwanza hata kuchora maua hawajui!
Nilimchorea mpaka na picha ila wapi 😅
🤣🤣🤣 Darasa la ngapi kipindi hiko?Mimi shule msingi nilimwandikia mtoto wa mwalimu ,Sijui alidondosha ,aliyeipata akaenda kuibandika kwenye kengele ya shule ,mwalimu wa zamu akaiona ee bhana akaisoma mbele ya wanafunzi na viboko juu.
Halafu barua yenyewe inaongea hadi kumwoa nilivyo mpuuzi.