Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Yani acha tu mpaka kumpa majibu ya test ila wapi hakunielewa yani😂😂😂Ndio ulikuwa unamuandikia mpaka notes?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani acha tu mpaka kumpa majibu ya test ila wapi hakunielewa yani😂😂😂Ndio ulikuwa unamuandikia mpaka notes?
😅😅😅😅😅😅kupigana kisa demu sijawahiUliwahi pigana kisa demu wako kipindi kile? 😂
Nilimkuta Facebook mwaka Jana nikamfuata Inbox nikamwambia aiseeeHuyo masanja alikuwa na wivu, ndio maana sio vizuri kumpa masanja barua apeleke mahali ataleta balaa. 😆😆
Inaumaga sana kmmmk walai dah! Yule demu nilimziria maisha yangu yote hata nikikutana nae leo simsalimii!Ulikuwa unajisikiaje demu hakuelewi lakini unaona mburula moja inabeba tu kirahisi? au hukuwa na wivu mzee baba?
Duhh mwamba ausahauInaumaga sana kmmmk walai dah! Yule demu nilimziria maisha yangu yote hata nikikutana nae leo simsalimii!
Na bila Shaka barua hii ilimiminiwa powder (poda) yenye harufu nzuri....😀😀😁😁
Hilo darasa la sita[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Darasa la ngapi kipindi hiko?
Hatari acha tuteseke naeBabaaa utamu umeishaaaa!
Mwanza hiyoEnzi nasoma seminary halafu nna manzi anasoma Loreto Girls. Uzuri barua zilikuwa hazisomwi. Huwa nikizisoma hizi barua nacheka sana 😂😂
Sijuagi hata yupo wapi siku hizi.
View attachment 1969045View attachment 1969038
Halafu anakuambia barua hazisomwi jiachie tu
View attachment 1969063
Umenikumbusha aisee kuna manzi wangu mmoja alihamia shuleni kwetu ,basi tukazoeana baada ya week akanitumia barua za hiyo karatasi na card zile za msg halafu zinanukia pafyumu yake ....dah nilikuwa narudi kuisoma na kuinusa.Enzi nasoma seminary halafu nna manzi anasoma Loreto Girls. Uzuri barua zilikuwa hazisomwi. Huwa nikizisoma hizi barua nacheka sana [emoji23][emoji23]
Sijuagi hata yupo wapi siku hizi.
View attachment 1969045View attachment 1969038
Halafu anakuambia barua hazisomwi jiachie tu
View attachment 1969063
🤣🤣Umenikumbusha mbali sana kabla ya shetani hajaleta Sms na baadae kaua burandi kwa kuleta facebook, instagram na WhatsApp
🤣