Mapenzi ya hivi ni kero sana

Mapenzi ya hivi ni kero sana

Cha kufanya mfurahishe sku moja hasa uwanjan, katikati ya mech mueleze kwa upole na kimahaba kuwa hupendezwi na tabia yake, mwambie kila mtu ana mapungufu na mtu akikosea asisite kukir kosa na kuomba msamaha ikishindikana, Panga sku moja mtoe out au mfanyie suprise katikat ya furaha mweleze kila kitu mwambie unampenda na unamuomba si lazma ila ni vizur kwa uhai wa penz lenu hapo atakuelewa, best wishes beloved
ukikutana na gamba la kobe, kauzu kuzidi kauzu yenyewe, nakwambia hata uka-do naye chini ya bahari na kuimba ala kupita za elton john, HABADILIKI NG'O! ndivyo walivyo wakupenda kutetemekewa! lol!
 
huwa nashindwa kukubali kama wanawake wa hivyo bado wanaexist! yaani mtu akose yeye, niombe msamaha mimi, sasa unamwambiaga am sorry foe the mistake u did, au??? aarrgggghh achana naye, TUPA KULEEEE, mapema, utampata ambaye atajitambua tu kila anapokosea. inakera sana, sasa baada ya ndoa si atakwambia umrambe miguu yake kila asubuhi??? pole lakini!
nina uhakiak huyu mwanamke kuna mambo flan flan anatufica ..haiwezekani na hapa duniani siamini kama kuna situation kama hiyo ..eti ukosee wewe then uombwe msamaha wewe? hivi jamani inaingia akilini kweli? mboan siamnini jamani ..ina maana wewe ni zuzu ..wewe hujui haki yako kama mwanamke? ama kama binadamu yoyote? sasa kwa nini umeenda shule? hata kuku ama kondoo ukimpiga anaweza kukuletea noma kwa vile anajau kuwa unamuonea sasa wewe na umeenda kabisa na shule THEN UNAONEWA KIASI HIKI ? NINA UHAKIKA HAPA HUJALETA HII MADA YAKO KWA UMAKINI.KUAN MAMBO UMEYAACHA ..WEKA KILA KITU.
 
nimeshatembea na hapa ndo nimefika sasa......

Kama hilo ndo swala,basi kubali kuwa hayo ndiyo maisha yako sasa.Maana hata tukikushauri uteme hatutakutendea haki maana wewe moyo wako ndiyo umefika hapo!
 
nina uhakiak huyu mwanamke kuna mambo flan flan anatufica ..haiwezekani na hapa duniani siamini kama kuna situation kama hiyo ..eti ukosee wewe then uombwe msamaha wewe? hivi jamani inaingia akilini kweli? mboan siamnini jamani ..ina maana wewe ni zuzu ..wewe hujui haki yako kama mwanamke? ama kama binadamu yoyote? sasa kwa nini umeenda shule? hata kuku ama kondoo ukimpiga anaweza kukuletea noma kwa vile anajau kuwa unamuonea sasa wewe na umeenda kabisa na shule THEN UNAONEWA KIASI HIKI ? NINA UHAKIKA HAPA HUJALETA HII MADA YAKO KWA UMAKINI.KUAN MAMBO UMEYAACHA ..WEKA KILA KITU.
amesahau pia kuwa mwana umleavyo, kama sasa mpo kwenye uchumba anabehave hivyo, mkifunga ndoa itakuajeeee??? naumiss usichana wangu, siku-uenjoy kwa kweli, got married at 20yrs. yaani watu kama hawa ningekuwa wala sina mjadala wala kufikiria, ni mwendo wa kutupa kuleeee, fasta kwanza!
 
ukikutana na gamba la kobe, kauzu kuzidi kauzu yenyewe, nakwambia hata uka-do naye chini ya bahari na kuimba ala kupita za elton john, HABADILIKI NG'O! ndivyo walivyo wakupenda kutetemekewa! lol!

ha ha ha u have made ma day.....
Huku kumtetemekea mtu siku moja atanitoa nje mimi na zubeda yangu!
 
nina uhakiak huyu mwanamke kuna mambo flan flan anatufica ..haiwezekani na hapa duniani siamini kama kuna situation kama hiyo ..eti ukosee wewe then uombwe msamaha wewe? hivi jamani inaingia akilini kweli? mboan siamnini jamani ..ina maana wewe ni zuzu ..wewe hujui haki yako kama mwanamke? ama kama binadamu yoyote? sasa kwa nini umeenda shule? hata kuku ama kondoo ukimpiga anaweza kukuletea noma kwa vile anajau kuwa unamuonea sasa wewe na umeenda kabisa na shule THEN UNAONEWA KIASI HIKI ? NINA UHAKIKA HAPA HUJALETA HII MADA YAKO KWA UMAKINI.KUAN MAMBO UMEYAACHA ..WEKA KILA KITU.
kama nimeamua kuomba msaada sina haja ya kuficha, he z best kwenye baadhi ya mambo na he z gud pia kwenye mambo mengine ila hili ndo baya kuliko yote, bad enough ye haoni kama ni shida coz alishawah kuniuliza "wat does t cost u ukininyenyekea(tetemekea)? hiki kitu uvumilivu unanishinda
 
Mh! Kaka naona kama. Naamini unapenda wala hupendwi. OGOPA SANA MAPENZI YA UPANDE MMOJA, UTAENDESHWA KAMA GARI BOVU! Ata kama unasema UMEFIKA, mtasumbuana sana. Tafuta mpenzi ambaye mtakuwa mnajaliana na kuchukuliana hali!
 
Kula na kipofu usimshike mkono wewe! Kama umeshindwa kumtetemekea achia mzigo uone wanaojua kutetemekea watu waki-cover nafasi....

umenigusa kunako Kingkoooooooooooooooooooooooooooooooooong
 
udhaifu wako utakoma siku moja wewe muachie tu kuna siku atafanya kosa kubwa itabidi wewe ufyate mkia
 
Mpenzi wangu anapenda
sana kutetemekewa kiasi kwamba hata kama ana makosa yeye mi ndo nimuombe
msamaha nachukizwa sana na hii tabia mi napenda kumuheshimu zaidi
kuliko kumtetemekea........msaada wenu please!

Mapenzi hayana formula! tunaweza kukupa ushauri ukaachwa alafu utulaumu! kama anapenda hivyo na we umemzowesha sasa unataka kuchomoa nini? endeleaaa!
 
pumbavu nini,Mapenzi yenu wenyewe then mje m2sumbue sisi,Mbona mkiwa mnalala uchi huwa hamtuombi ushari?
 
Mpenzi wangu anapenda sana kutetemekewa kiasi kwamba hata kama ana makosa yeye mi ndo nimuombe msamaha nachukizwa sana na hii tabia mi napenda kumuheshimu zaidi kuliko kumtetemekea........msaada wenu please!

He is controlling na sasa ogopa watu wa hivyo. Kama mapema hii kaanza hivyo onesha na kuwa huko tayari ili naye aelewe msimamo wako na akubaliane na feelings zako, samaki mkunje akingali mbichi.
 
Mpenzi wangu anapenda sana kutetemekewa kiasi kwamba hata kama ana makosa yeye mi ndo nimuombe msamaha nachukizwa sana na hii tabia mi napenda kumuheshimu zaidi kuliko kumtetemekea........msaada wenu please!

Tupa kule

Nani anataka mtu asiyeweza kujishusha....

Akatafute mpz wa hivyo kijijini kwao
 
Back
Top Bottom