Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,843
- 10,321
Unampapasa Kidogo Kidogo Mara Mazoea Ha Ha Haa Afu Unavizia Watu Wameenda Job Unamwambia Hapa Kazi Tu
duh ama kweli hapa kazi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unampapasa Kidogo Kidogo Mara Mazoea Ha Ha Haa Afu Unavizia Watu Wameenda Job Unamwambia Hapa Kazi Tu
Duh! ila haya maamuzi yanaweza kuleta madhara makubwa.Hakuna lolote....hayo maamuzi mnayakosa kwa mahausi girls tu?
sa kama **** zinafanya muwe na maamuzi ya kijinga basi hazina faida
Hakuna lolote....hayo maamuzi mnayakosa kwa mahausi girls tu?
sa kama **** zinafanya muwe na maamuzi ya kijinga basi hazina faida
Heri wazikate wachome mishkaki wauze angalau watapata faida
Jamani hawa ni watu wa hali ya chini lakini wana mapenzi ya dhati tofauti na hawa wadada wengine.Hawachuni sana ani ukiwapa buku wanaridhika.Wanajua kutunza na ndo mana unakuta hata mama mwenye nyumba anaibiwa mume.Tena hawa wanawake wanaochati Facebook wanakua hawana mda wa kuwajali waume zao make mda wote kubofya Smartphone.
Hakuna lolote....hayo maamuzi mnayakosa kwa mahausi girls tu?
sa kama **** zinafanya muwe na maamuzi ya kijinga basi hazina faida
Umenikumbusha aiseee ....kumbe ukidhani yy mjinga na yy anakuona f.a.l.aSiyo kweli kwamba wanaridhika na buku, bali mnakuwa wengi mnaochanga hizo bukubuku maana wao hupigwa chapchap kila kona.
Na itakua mishikaki mitamu kama ya nundu ha ha haHeri wazikate wachome mishkaki wauze angalau watapata faida
Heri wazikate wachome mishkaki wauze angalau watapata faida
Heri wazikate wachome mishkaki wauze angalau watapata faida
Mke pekee hatoshi bhana... lazama kocha uwena substitute ili hata mchezaji wandani akiumua soka linaendelea tu.Mtakuja kufa vinywa wazi,Pendeni wake zenu.
yani hapa tunazungumzia mautamu ya hausigeli alafu wewe unasema hopeless thread? ebu acha masikhara blazaa...Hopeless thread! Delete it !!