Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani hawa ni watu wa hali ya chini lakini wana mapenzi ya dhati tofauti na hawa wadada wengine.Hawachuni sana ani ukiwapa buku wanaridhika.Wanajua kutunza na ndo mana unakuta hata mama mwenye nyumba anaibiwa mume.Tena hawa wanawake wanaochati Facebook wanakua hawana mda wa kuwajali waume zao make mda wote kubofya Smartphone.
ivi wewe hauna undugu na youngsharo au kikoozi kweli?
mimi sina wivu ila niambie umejaribu wangapi wewe?Miss California Acha Wivu
kapumzike tu baada ya tarehe 25 we rudiDada yangu naomba niende likizo hadi baada ya uchaguzi, hili jukwaa nimechanganywa na fikra za kisiasa nadhani.......Tunasifiana tunavyowahujumu maHG, never since nina pumzi.
Wanaume wenzangu kama haya ndio mawazo yetu kuhusu maHG nachelea kusema baadhi yetu hamtawasetiri wanenu wa kuwazaa...... Think big wakuu sisi ndio tegemeo la familia kwa kiswahili kitamu Vichwa vya familia. Masalaleeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
duh unanisingiziaApana Unaona Donge
kapumzike tu baada ya tarehe 25 we rudi
sawa mkuuNashukuru kwa ridhaa, nitaianza rasmi Kesho....Real I will miss good people here but ni muhimu kufanya hivyo sasa kabla ya kulishushia hadhi na kulidharau jukwaa letu pendwa
Jamani hawa ni watu wa hali ya chini lakini wana mapenzi ya dhati tofauti na hawa wadada wengine.Hawachuni sana ani ukiwapa buku wanaridhika.Wanajua kutunza na ndo mana unakuta hata mama mwenye nyumba anaibiwa mume.Tena hawa wanawake wanaochati Facebook wanakua hawana mda wa kuwajali waume zao make mda wote kubofya Smartphone.
bado sijawahi aiseeeBy the way, miss chaga, vipi ma house boys, umeawahi kuwajaribu?