Mapenzi ya house girl

Mapenzi ya house girl

Jamani hawa ni watu wa hali ya chini lakini wana mapenzi ya dhati tofauti na hawa wadada wengine.Hawachuni sana ani ukiwapa buku wanaridhika.Wanajua kutunza na ndo mana unakuta hata mama mwenye nyumba anaibiwa mume.Tena hawa wanawake wanaochati Facebook wanakua hawana mda wa kuwajali waume zao make mda wote kubofya Smartphone.

Are you serious bro? That 'love' you talking about, is because they have no option but to give it so that you provide to them what they need.
 
Dah Zamamani Mama Angu Alileta House Girl Mzuri Kinoma,sema Nilikua Mdogo
 
Sa Ivi Japo Sikai Kwetu Tena,mama Kawa Mjanja Sana,anatafuta Hg Mtoto Kabisa Au Mwenye Watoto Au Mbaya Ili Kukomesha Usumbufu Pale Home.Mana Akija Hg Bomba Wageni Wanakatiza Mara Kwa Mara.Mama Akasema Hawa Ma Hg Wataleta Majambazi Sasa Make Unakuta Mijitu Ambayo Hata Huijui
 
Dada yangu naomba niende likizo hadi baada ya uchaguzi, hili jukwaa nimechanganywa na fikra za kisiasa nadhani.......Tunasifiana tunavyowahujumu maHG, never since nina pumzi.
kapumzike tu baada ya tarehe 25 we rudi
 
Wanaume wenzangu kama haya ndio mawazo yetu kuhusu maHG nachelea kusema baadhi yetu hamtawasetiri wanenu wa kuwazaa...... Think big wakuu sisi ndio tegemeo la familia kwa kiswahili kitamu Vichwa vya familia. Masalaleeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Waambie hao....
 
ila mziwagonge tigo,manake mtavunja ndoa zenu....marhabaaaa
 
Nashukuru kwa ridhaa, nitaianza rasmi Kesho....Real I will miss good people here but ni muhimu kufanya hivyo sasa kabla ya kulishushia hadhi na kulidharau jukwaa letu pendwa
sawa mkuu
 
Urewedi?


Jamani hawa ni watu wa hali ya chini lakini wana mapenzi ya dhati tofauti na hawa wadada wengine.Hawachuni sana ani ukiwapa buku wanaridhika.Wanajua kutunza na ndo mana unakuta hata mama mwenye nyumba anaibiwa mume.Tena hawa wanawake wanaochati Facebook wanakua hawana mda wa kuwajali waume zao make mda wote kubofya Smartphone.
 
Back
Top Bottom