Huwa najiuliza hii kuwasakama watu wanafanya mapenzi ya jinsia moja wanasakwamwa kwa lipi!kama wao wanapenda na wahaingillii faragha ya mtu /watu wengine!
Kama ni dini mbona dini imekataza mambo mengi na bado mengi hayafuatwi,!
Au tunachagua dhambi
Labda kama issue ni bayolojia hapo pana mshiko!lakini kama wao hawaoni tatizo sisi yatuwashia nn!
Kama ni dini mbona dini imekataza mambo mengi na bado mengi hayafuatwi,!
Au tunachagua dhambi
Labda kama issue ni bayolojia hapo pana mshiko!lakini kama wao hawaoni tatizo sisi yatuwashia nn!