Mapenzi ya shule: Nilipata mtoto nikiwa Sekondari

Aisee, mpaka hii stori imenitoa machozi, Mungu akusaidie sana. Tunapitia mambo magumu sana. Dumisha uhusiano wako wewe na Mungu. Aisee...
 
R. I. P "R" Huyo Dogo ndiyo atakuwa R Jr Sasa bila shaka atakuwa mtu mwema sana kama Daddy ake.
 
Duh aseeeh R kama R apumzike kwa amani, jamaa alikuwa mpambanaji mwenye akili sana na alikupenda kweli.
 
k

kama ivo ilivokuwa! ikawezekana ndivo ivo inaleta uwezekano huo!
Somehow you are making sense- maana sometimes unajikuta unagombana mno na mara kwa mara na mpendanaye wakati wa kilele cha upendo haswaaa.
 
maana sometimes unajikuta unagombana mno na mara kwa mara na mpendanaye wakati wa kilele cha upendo haswaaa.
oo!! oooh! yes! kumbuka wahenga! nawanukuu ''wagombanao ndiyo wapatanao''!
 
Mungu anamakusudi kukuletea R
 
Dah pole sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…