Mapenzi ya wanawake watu wazima ni matamu sana

Duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa nimeandika maelezo marefu sana ila.nikafuta ,, dada umemaliza
Nilikimbia ndoa! Hapana sipo tayar kushuhudia napambanishwa na saizi ya mama yangu kugombania mb"* big No

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
and viceversa
 
Komaaa kamanda panga safari ya mbali kidogo na hapo ondoka nae, ikibidi utangulie wewe ili kuchukua lodge na kuweka mazingira fresh, akifika mpokee zama nae ndani, bila hivo utasubiri sana kashaelekea kuliwa huyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipomaliza kuisoma hii comment, nimejikuta natafakari na kupata taswira ya kile ulicho kimaanisha mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Taswira gani mkuu, yan umeona kama vile zero yupo kitandani yuko hoi, hajiwezi hata kusimama amekonda amechoka, kujisaidia ni hapohapo, unamuona mama yake ndo mtoa huduma zote, yeye ndo anamrisha chakula tena kwa kijiko huku machozi yakimtoka, anamwambia zero " mwanangu nilikwambia dunia hii hadaa ona leo mwanangu unavohangaika"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu kibaya zaidi au kizuri ukimwi hauko ivyo kama zamani labda ujiuwe mwenyewe kwa mawazo unaweza tembea na vitoto ivi vidogo vikakuambukiza kuliko watu wazima hawa ndyo maana maambukizo mapya kila siku in kuanzia miaka15 hadi35

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msitupe marazi tu,

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatunaga maradhi unapopata number A hakuja hajanja kutembea na spare tair ....kitu ni 4D ya nguvu ...yaani ni kujiamini fulll

Karibu wanaume wote wanaomiliki number D chunguza wana spare tair hawana uhakika ...ikizingua anashushaa anachukua spare tairi anaendelea matokeo yake magonjwa ,fangasi,gono , kaswende

sent from HUAWEI
 
Umeongea point wanaume wengi wanao date na wakina mama hawanaga michepuko chunguza akishikwa ana shikwa kweli...ila hawa D unaweza kuwa nao 5

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…