Hahahaaaaaaa
Kuna namba A mmoja niliwahi kuingia kwenye mvutano naye kisa alikuwa hakubali mimi nikamfyekee ile misitu yake ya virunga ahahaaaaa...
Nikamwekea msimamo kuwa bas sichezi na wewe hadi utakapokubali kuachia nyasi za kwa down zikue kisha nije nizifyeke mwenyewe, akawa hana namna zaidi ya kukubali.
Siku ya siku nimejiandaa nimejipanga vilivyo nikafika na kuku choma na mvinyo aupendao huyoo hadi eneo la tukio, tukala, tukanywa, tukachangamka. Sikuchelewesha nikambembeleza na kumchombeza akakubali mara paap viwalo tupa kule nikamweka mkao wa kunyolewa , nipo bize na sheva pale nafyeka huku napulizia zile za mabaki maki kwa mtindo wa "aaasssphuuuuuu!!!...sssphuuuuuu!!!!...ssssaphuuuuuu......kanitolea jicho kodo ova ntole ichomwayo kwa joto la wastani....hahhahaaaaa...ananambia we mwana we una hatari balaa lako si la kitoto , namuuliza kwanini? ananambia we kunichungulia ( )¢H! wangu waona dogo eeeenh!!
Tumemaliza pale anaanza kama kawaida yake "mbalizi1 babaangu unanichanganya kwa mahaba yako baaba", chozi likimtiririka~ akaitenga akasema ivurugue mali yako peke yako baaba