Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,334
- Thread starter
- #461
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
labda kama anazo , na kama hana trust me hakataiSio kweli eti mwanamke hawezi kataa pesa hilo sio, wanawake wengi tu wanajiheshimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe yani kwenye 100 moja tu wanawake ni money monger wao na pesa damu damuSio kweli eti mwanamke hawezi kataa pesa hilo sio, wanawake wengi tu wanajiheshimu
Sent using Jamii Forums mobile app
kuacha ni baada ya kifo basi hamna kingine
nipe hiyo kazi mimi, hakika hutajutaYan huu uzi, umentamanisha nipate kijana mbichi anayejua kukuna! Ha ha ha haaaaa....aiseeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Asije tu kuwa mke wa mtu!Kwa umri wangu sikuwahi kuwa kwenye mahusiano ya kimahaba na mwanamke aliyenizidi umri mpaka mwaka huu nilipopata mama mwenye miaka 40 alimaarufu namba A. Mimi nina 27yrs, hakika naenjoy maana wana ladha tofauti kabisa
1. Wanajua mapenzi na ni wasafi wa kiwango cha SGR. Unakula tunda la grade 1, tofauti na hawa namba D maringo mengi, kucha ndefu, kwa bibi kumeoza yani mtoto nje mkali ila sasa ukimvua nguo lazima nguvu za kiume zipotee.
2. Siyo wasumbufu hata kidogo, mkipanga appointment hakika ni kwa wakati na hata akichelewa ana sababu ya maana. Hakuna zile sijui mama leo anaumwa sijui nimepata tumbo la period wala shangazi kapata corona.
3. Kwenye ushauri wa maisha wako vizuri sana. Nanufaika sana na uzoefu wao wa maisha. Hakika nimeupgrade from step 1 to step 3 financially mpaka mentally.
4. Ni wachumi sana yani wanajua budget. Huwezi tapanya pesa ovyo bar sijui yule mupe yule muruke. Ukiwa naye aisee utapigwa jicho moja hakika halafu siyo kwamba bia yake ni safari akikuona una hela leo ataagiza savanna, Hapana!
5. Kwenye kupewa papuchi ni tani yako na papuchi yenye kiwango haina UTI wala Gonorrhea. Ufundi wa hali ya juu wanapiga miguu yote ni wewe tu.
6. Siyo wachunaji ila bata zao kidogo ni expensive. Zile guest house zetu za elfu tano na dume unapewa bure haziwafai.
Vijana tujaribu upande wa shilingi namba A. Body kidogo imeenda garage ila engine mpya kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
mashaka yangu makubwa nahihi misheni ni hapo tu, MKE WA MTUAsije tu kuwa mke wa mtu!
We siwezi kabisa nimeona hadi kaburi la mume wake!!Asije tu kuwa mke wa mtu!
Hapo ndipo penye hatari!mashaka yangu makubwa nahihi misheni ni hapo tu, MKE WA MTU
Pole sana hawa namba D hawajatulia kabisa!!!!Nilikuwa naye mwaka 2018 lakini ameenda USA huko ,hakika napata shida kwa Hawa grade D. Umenikumbusha mbali kwenye huu Uzi wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hivi tabia ni tabia tu mwingine hata kama yupo na mahusiano akiona pesa basi lazima achachawelabda kama anazo , na kama hana trust me hakatai
Wewe yani kwenye 100 moja tu wanawake ni money monger wao na pesa damu damu
Sent using Jamii Forums mobile app