Mapenzi ya watu wanaopiga pombe huwa ni matamu

Mapenzi ya watu wanaopiga pombe huwa ni matamu

Mapenzi ya watu wanaopiga pombe huwa ni matamu sana na yenye furaha ukilinganisha na wale wanaotumia vitu vitamu vitamu kama juisi,soda n.k Hawa wanaotumia vilevi vya pombe huwa wana zile swaga au hamasa katika kuleta furaha katika mapenzi.Kama hamjalithibitisha hilo,ingieni field.
Before sijaoa nilikuwa nainjoy Sana nikidate mwanamke chapombe. Yaani mkishakuwa high mnaeza hata mka-do kwenye viti vya bar. Yaani full burdan. Mkikwazana mnaenda kuyamaliza bar Tena kwa muda mfupi mambo yameisha.
Ila nilipokuwa serious kuoa nilipiga chini vyapombe wote na kudeal na ambae kwake pombe ni ni sumu. Imenisaidia Sana Sasa ivi nakunywa mvinyo sio ule wa kulewa high voltage.
Shida ya pombe Kama wote NI walevi hata Kama mna elfu kumi tu siku iyo mnaweza mkajikuta mmeichoma yote alafu asubuhi mnaangaliana tu na mihang over yenu. Shwain
 
Hahaa, ni walevi mpaka wanavua nguo,ila unafki kama kawa, vipi wewe unakunywa? Unauonaje huo utafiti wa mleta mada?
Nilikuwa naonja ila sasa nakunywa but sijafikia ulevi. Nimefungua ki Grocery sasa kila siku wateja wangu lazma wanionjeshe kidogo. Najikuta nalamba vinywaj tofaut tofauti🤣
 
Nilikuwa naonja ila sasa nakunywa but sijafikia ulevi. Nimefungua ki Grocery sasa kila siku wateja wangu lazma wanionjeshe kidogo. Najikuta nalamba vinywaj tofaut tofauti🤣
Hahahaaa, hiyo grocery itadumu kweli Kwa kuonja hivo,hongera piaa. Sasa Kwa huo unywaji una nini cha kusema Kwa hii mada, je unajikuta unampenda zaidi mamiloo ukishakunywa ama kawaida tu[emoji3]
 
hapa ukikuta mmoja wapo ana shy huwa hayanogi,raha kilaji bana,confidence level ina range 99%
Aisee, ngoja nianze kunywa na Mimi niprove kama ni kweli tutazidi kupendana kama siyo kudundana mangumi tu, maana wengine wakinywa ni wakorofi jamani[emoji30]
 
Aisee, ngoja nianze kunywa na Mimi niprove kama ni kweli tutazidi kupendana kama siyo kudundana mangumi tu, maana wengine wakinywa ni wakorofi jamani[emoji30]
[/QUOT aah!ishu hapa n unywaj c ulevi hapo kuna tofaut,unapga tu ile kimtndo,kwa upande wenu naskia reds,savanah or amarula zinawafaa saanaa,kila la heri kweny maandaliz ya kwenda kua tester,muhimu tu usizidishe😀
 
Before sijaoa nilikuwa nainjoy Sana nikidate mwanamke chapombe. Yaani mkishakuwa high mnaeza hata mka-do kwenye viti vya bar. Yaani full burdan. Mkikwazana mnaenda kuyamaliza bar Tena kwa muda mfupi mambo yameisha.
Ila nilipokuwa serious kuoa nilipiga chini vyapombe wote na kudeal na ambae kwake pombe ni ni sumu. Imenisaidia Sana Sasa ivi nakunywa mvinyo sio ule wa kulewa high voltage.
Shida ya pombe Kama wote NI walevi hata Kama mna elfu kumi tu siku iyo mnaweza mkajikuta mmeichoma yote alafu asubuhi mnaangaliana tu na mihang over yenu. Shwain
Ni kweli mkuu,changamoto ni kwenye matumizi.....lakini kila kitu ni mipango,hatuna sayari nyingine ya kuishi, kama starehe yako ni kinywaji,unaweka bajeti yako maisha yanaenda
 
Umefikiria nn hadi umeleta hii mada mimecheka sana mm nakunywa pombe kuna wakati niliacha ugomvi ukaongezeka nikarudi tena huko nikawa sioni makosa mengi
Ha ha ha ha wakati mwingine pombe inasuluhisha migogoro ya mahusiano
 
Back
Top Bottom