Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Havina Majina??
Vitu vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitu vizuri
Njoo nikupatieHavina Majina??
ha ha ha ukitaka kumuhubiria injili muhuni inabidi na wewe uwe muhuni.Unawashaur nn wale wamma wanao pokea kichapo kwa waume zao wakilewa
sidhani 🤣🤣🤣Sana tu
Nawashauri nao wale gambe😂Unawashaur nn wale wamma wanao pokea kichapo kwa waume zao wakilewa
Tatizo yeye hapendi harufu ya yale maji yanayolewesha, huwa anafura tu😂😂😂 ila nishamzoeaHahahaaa, hiyo grocery itadumu kweli Kwa kuonja hivo,hongera piaa. Sasa Kwa huo unywaji una nini cha kusema Kwa hii mada, je unajikuta unampenda zaidi mamiloo ukishakunywa ama kawaida tu[emoji3]
Sebene likipigwa unalisakata kama kofi olomidehapa ukikuta mmoja wapo ana shy huwa hayanogi,raha kilaji bana,confidence level ina range 99%
ha ha ha ha nimecheka sana mkuuSebene likipigwa unalisakata kama kofi olomide
Umenichekesha sana mkuu kwamba ukishapiga vitu huoni makosa mengiUmefikiria nn hadi umeleta hii mada mimecheka sana mm nakunywa pombe kuna wakati niliacha ugomvi ukaongezeka nikarudi tena huko nikawa sioni makosa mengi
Sebene likipigwa unalisakata kama kofi olomide
safi sana maisha mafupi na twendako hatupajui ila tunajua tutokako....ila sote tunajua ni lazima tufe tuNi kweli mkuu,changamoto ni kwenye matumizi.....lakini kila kitu ni mipango,hatuna sayari nyingine ya kuishi, kama starehe yako ni kinywaji,unaweka bajeti yako maisha yanaenda
Ni kweli mkuusafi sana maisha mafupi na twendako hatupajui ila tunajua tutokako....ila sote tunajua ni lazima tufe tu
Hakuna ata raha wanapata pale mimi nikiwaka nacheza mziki afu nabambia hatari na najua kucheza siku hizi pombe hiziha ha ha hawa wapiga vitu vya sukari kwa asilimia kubwa mapenzi yao ni ya kuviziana
ha ha ha ha zina raha yake mkuuHakuna ata raha wanapata pale mimi nikiwaka nacheza mziki afu nabambia hatari na najua kucheza siku hizi pombe hizi
Umegarimia taaluma huku ukiemjoy tofsuti na darasana unasoma halafu unafeli na test au mitihaniHakuna ata raha wanapata pale mimi nikiwaka nacheza mziki afu nabambia hatari na najua kucheza siku hizi pombe hizi
hapa jiraninkunakuwaga na kigrocery moja la mdada moja ikifika saa tano tunalifunga basi ukituona wazeee hadi aibu tumeacha wake zetu home .. chumbe chenyewe hakina hata hewa wala hatuoni shida ilimradi kofi aoigwe weeeeee ukirudi unanyatia unaoga unalala kimya ni mwendo wankukoroma hakuna ugomvi NJOO SASA KWA WANYWA SODAha ha ha ha nimecheka sana mkuu
ha ha ha haHal
hapa jiraninkunakuwaga na kigrocery moja la mdada moja ikifika saa tano tunalifunga basi ukituona wazeee hadi aibu tumeacha wake zetu home .. chumbe chenyewe hakina hata hewa wala hatuoni shida ilimradi kofi aoigwe weeeeee ukirudi unanyatia unaoga unalala kimya ni mwendo wankukoroma hakuna ugomvi NJOO SASA KWA WANYWA SODA