Mapenzi yako ni kina gani? (How deep is your love?)

Mapenzi yako ni kina gani? (How deep is your love?)

Imenikumbusha mbali kidogo.

Katika maisha yangu mpaka kufikia form 4 sikuwahi kuwa katika uhusiano wa kimapenzi nilifanya hivyo nikiamini niwe bize na masomo kisha nikiamini ningekuja mpata mwanamke anayejitunza kama ninavyojitunza mimi na hilo ndipo nililipenda zaidi.

Nikawa nawaonea huruma hasa waliokuwa wakiumizwa na mapenzi nikiamini yanawatokea sababu wao wamekuwa wakiwaumiza wenzao,hivyo hayo mi yasingenipata maana me sikuwahi muumiza yeyote.

Hatimaye nikahitimu,hapa nikaona ni muda mzuri wa mimi kupenda na kupendwa hasa kuyatoa mapenzi yangu yote kwa ajili yake...huku nikisubiri matokeo yangu.

Duh...kutokana na uoga wangu wa kumfata mwanamke nikajikuta nimeangukia mikononi mwa mwanamke aliyekuwa member wa facebook,huku tukiwa hatufahamiani kabisa.

Ikumbukwe yeye ndiye alikuwa chanzo cha mimi kuwa nae baada ya kuwa marafiki kwa muda kidogo ikafika tukapeana namba za simu.

Mapenzi yakaanza kwa pupa huku kila mmoja akifanya kila aliwezalo kumfurahisha mwenza wake.

Huyu alikuwa ni mwanamke aliyekuwa anajihusisha na mashindano ya u miss na alishawahi kushinda taji huko alipokuwa mwaka 2014.

Baadaye...alikuja kuanza kujihushiwa na masuala ya urembaji wa video (video queen.)

Yeye alikuwa akiishi Dar es Salaam mimi nikiishi mkoa uliopo katikati ya nchi.

Kufupisha nilijitoa ila alichokuja kunifanyia nimesamehe ila sijawahi kusahau.

Juu ya uzi.
Kujitoa ni kuzuri ila usitegeme naye ajitoe kwaajili yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imenikumbusha mbali kidogo.

Katika maisha yangu mpaka kufikia form 4 sikuwahi kuwa katika uhusiano wa kimapenzi nilifanya hivyo nikiamini niwe bize na masomo kisha nikiamini ningekuja mpata mwanamke anayejitunza kama ninavyojitunza mimi na hilo ndipo nililipenda zaidi.

Nikawa nawaonea huruma hasa waliokuwa wakiumizwa na mapenzi nikiamini yanawatokea sababu wao wamekuwa wakiwaumiza wenzao,hivyo hayo mi yasingenipata maana me sikuwahi muumiza yeyote.

Hatimaye nikahitimu,hapa nikaona ni muda mzuri wa mimi kupenda na kupendwa hasa kuyatoa mapenzi yangu yote kwa ajili yake...huku nikisubiri matokeo yangu.

Duh...kutokana na uoga wangu wa kumfata mwanamke nikajikuta nimeangukia mikononi mwa mwanamke aliyekuwa member wa facebook,huku tukiwa hatufahamiani kabisa.

Ikumbukwe yeye ndiye alikuwa chanzo cha mimi kuwa nae baada ya kuwa marafiki kwa muda kidogo ikafika tukapeana namba za simu.

Mapenzi yakaanza kwa pupa huku kila mmoja akifanya kila aliwezalo kumfurahisha mwenza wake.

Huyu alikuwa ni mwanamke aliyekuwa anajihusisha na mashindano ya u miss na alishawahi kushinda taji huko alipokuwa mwaka 2014.

Baadaye...alikuja kuanza kujihushiwa na masuala ya urembaji wa video (video queen.)

Yeye alikuwa akiishi Dar es Salaam mimi nikiishi mkoa uliopo katikati ya nchi.

Kufupisha nilijitoa ila alichokuja kunifanyia nimesamehe ila sijawahi kusahau.

Juu ya uzi.
Kujitoa ni kuzuri ila usitegeme naye ajitoe kwaajili yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Doh! Mkuu, pole sana asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imenikumbusha mbali kidogo.

Katika maisha yangu mpaka kufikia form 4 sikuwahi kuwa katika uhusiano wa kimapenzi nilifanya hivyo nikiamini niwe bize na masomo kisha nikiamini ningekuja mpata mwanamke anayejitunza kama ninavyojitunza mimi na hilo ndipo nililipenda zaidi.

Nikawa nawaonea huruma hasa waliokuwa wakiumizwa na mapenzi nikiamini yanawatokea sababu wao wamekuwa wakiwaumiza wenzao,hivyo hayo mi yasingenipata maana me sikuwahi muumiza yeyote.

Hatimaye nikahitimu,hapa nikaona ni muda mzuri wa mimi kupenda na kupendwa hasa kuyatoa mapenzi yangu yote kwa ajili yake...huku nikisubiri matokeo yangu.

Duh...kutokana na uoga wangu wa kumfata mwanamke nikajikuta nimeangukia mikononi mwa mwanamke aliyekuwa member wa facebook,huku tukiwa hatufahamiani kabisa.

Ikumbukwe yeye ndiye alikuwa chanzo cha mimi kuwa nae baada ya kuwa marafiki kwa muda kidogo ikafika tukapeana namba za simu.

Mapenzi yakaanza kwa pupa huku kila mmoja akifanya kila aliwezalo kumfurahisha mwenza wake.

Huyu alikuwa ni mwanamke aliyekuwa anajihusisha na mashindano ya u miss na alishawahi kushinda taji huko alipokuwa mwaka 2014.

Baadaye...alikuja kuanza kujihushiwa na masuala ya urembaji wa video (video queen.)

Yeye alikuwa akiishi Dar es Salaam mimi nikiishi mkoa uliopo katikati ya nchi.

Kufupisha nilijitoa ila alichokuja kunifanyia nimesamehe ila sijawahi kusahau.

Juu ya uzi.
Kujitoa ni kuzuri ila usitegeme naye ajitoe kwaajili yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah
Inasikitisha sana jamani huyu mama kumfanyia mtoto wake hivi kisa umasikini wa mwanaume wa mtoto wake

Tivu sante
 
Back
Top Bottom