Mapenzi yako wapi tena? Karudi nchini bila kuniambia kakaa kimya, kanisahau kwa makusudi

She is gone bro!! Be a man,grow some balls little nigger and move on!
She ain't urs now bro,there must be some nigger doin her!! Achana nae,kuendelea kulia Lia ni kujidhalilisha.
 
Polee mkuu najua vile unafeel, i got the same situation nikasema nitafute wanawake tofauti ili nimsahau but bado ni ngumu, jaribu kumchek anaweza rudi usikate tamaa
 
Tulia ww, jifunze kwa wengine hilo ni somo kwako.. jipange kwa maisha yako kuwa bora zaidi, wanawake ni wengi mnoo huwezi amini... kuwa tu bora na maisha yako yanyooke..... utachagua aina yoyote unayotaka.... mdelete and move on
Nimependa hii comment
 
😁😁,mkuu move on,naelewa unayopitia wengi tulishapitia huko,ila sijui kama utaweza kuskiza ushauri kama huu,Sasa basi ngoja ubatizwe kwa moto ndo utajifunza,you will learn the hard way na bado,afu badae huko ndo utajiona kumbe ulikua wa ajabu kung'ang'ania so called mapenzi.
 
Ulicho kosea ni kumpenda sana na hukuwa na optional nyingine yani ulijiaminisha she's the one..pole sana love feeds on pains.
Always usimwamini mwanamke lower your expectations.

Chamsingi endelea na mishe zako achana naye huyo ukiendelea kumlilialilia akirudi atakuja kukupiga tukio ambalo hutakaa usahau.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…