nikiwa mm na yy anaweza kunisaidia lakini housegirl tumemwajiri kwa kazi hiyo, nahisi kuna watu wanishi maisha yale ya babu zetu badoNi utaratibu tu maana anaweza kmsaidia hata house girl kuosha vyombo usije ukashangaa:becky::becky::becky:
Lahaula Walakwata!!!!!!!!!, Ulimwengu waelekea wapi!!!!!, Babu yako akijua hayooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nguvu zaidi hari zaidi kasi zaidi ampe HG nguo za mumewe apasi tatizo liko wapi! Kwa nini zake ampe HG za mumewe akatae ?:becky: hapo wala hujamfanya robot ni umemfanya malkia au siyo FL1:becky::becky::becky:
Ukimpa na mikono yako umetangaza vita sasa, heheheeee, Huongeleshwi na huyo HG yupo matatani!! Sasa ufanyeje:violin:
Muulize kwa nini anafanya hivyo??labda wewe ni mvivu hujishughulisha na jambo lolote home kwako ndo maana amekuachia kazi ya kujinyooshea ..angalau..
:becky:
ukimpata wa 60's anweza kufanya hayo bado, ila zama hizi ni za usawa! enzi zile kina mama hawakuwa na kazi zaidi ya kutunza familia ila siku hizi wote tumeajiriwa wote tunapata salary so tunatakiwa kuishi usawaYa babu zetu ndiyo maisha haswaaaa! Natamani turudi huko:becky::becky:
Kulisha ngombe, kuku, kukamua maziwa, kumwagilia bustani, kuosha gari n.k.... bado kuna uvivu hapo:violin:
ukimpata wa 60's anweza kufanya hayo bado, ila zama hizi ni za usawa! enzi zile kina mama hawakuwa na kazi zaidi ya kutunza familia ila siku hizi wote tumeajiriwa wote tunapata salary so tunatakiwa kuishi usawa
Unakuta mkeo anapigiwa pasi na HG nguo zake za kwenda kazini na mwanaume unajipigia pasi mwenyewe na ukimpa HG akupigie ni ugomvi na ukimwambia mkeo akupigie anakuambia anajisikia uchovu.... hapo ni mapenzi yamefifia/yameisha ama kuna jambo jengine wakulu.........
Kwa nini zake ampe HG na za mmewe apasi mme wake????????
c upac mwnyewe, kinakushinda nini? wanaume wengine bwana ni mzigo tosha.
Hapo mapenzi kwishney omba likizo tu ukalinew penzi...
Na ukizingatia chakula chenyewe cha kula wewe ana andaa huyo huyo HG.
We zako unampa HG kwa nn na wewe usipasi mwenyeweee?
Kwa hisani ya watu wa Marekani sio?
bora akili hizi zinanitosha, mi my mr wangu alinikuta na akili hizi sijazibadilisha na amezikubali.Hata wao walikuwa wanaishi kwa usawa sema wewe hujui na akili zako zimegeka kifikra:becky::becky::becky: