Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zangu, zake anapac yeye.....
Kweli mkuu hili nalo neno:becky::becky:
Kweli hapo kwenye blue mie zangu ni akili bora:becky::becky:
Kha :confused2: mmmh najua hana makali ndo maana anapac kwa kuhofia
Kweli kwenye ndoa small thing matters maana ishu ya kupasi tu nguo inaweza ikakuzwa ikawa ndio chanzo cha mgogoro ndani ya nyumba
anahofia nini? wasukuma nao wanaijua hofu kweli.
Utakuta kachanganya na za HG :becky::becky: nazipac :becky::becky:
Anahofiwa kupewa BAN chakula cha usiku si unajua wanaume wengine commited :becky:
bahati mbaya sana cna hgal, na hata ningekuwa nae cwezi kuishi kwa hofu eti kisa hgal atafanya hiki na kile, kutojiamni huko, najiamini sana aisee, siruhusu hofu initalawe, na ananiheshimu pia, angefanya yote lakini kwa hgal hafiki kama ningekuwa nae huyo hgal.
Vitu vidogo kama hivi ukiwa wewe mwanaume dhaifu vitakufanya ukonde kwa mawazo,
BAN lina sababu zake lakini c hii ya kijinga hivi, kisa hajapac nimpe BAN?
huko ni kujitakia, sasa unataka nani akupasie bac, peleka drycleaner kikafanyike kila kitu...wanaume kama nyie hamtakiwi kuoa kabisa.
Hivi kwa nn unaogopa kukaa na HG? najua unapetendelea kukaa na HB nn siri ya mafanikio?