:becky::becky::becky: Mjomba alitoa HARD DISK ya 60GB akaweka HARD DISK ya 180GB
tumerudi kule kule? fanya hiyo kwenye bold uone kama hujafanyiwa kila kitu. Mnajidai kuzunguka zunguka lakini tunarudi kule kule ili uwe mwanaume kamili lazima ufanye hayo ndio uanze kuleta udume wako otherwise tusaidiane na kazi za nyumbani kama gharama tunasaidiana
hahahaha hizi ndoa ngoja tuwaachie wenye nazo mm kwangu lazima shughuli zote za nyumbani ufanye mwanamke
Kuna wanawake tena wapo hapa hapa huwa wanasema kipato chake ni chake baba anajukumu la kuhudumia familia na gharama zote yeye hachangii maana kipato chake mwanamke ni chake binafsi mwanaume hakigusi na wala hachangii mahitaji yoyote yale kwenye familia.
nyie ndio wanaume sasa, yani wanaume ndio nyie, na mpo wachache sana....hongera sana kaka nimekupenda ghafla.
Kuna wanawake tena wapo hapa hapa huwa wanasema kipato chake ni chake baba anajukumu la kuhudumia familia na gharama zote yeye hachangii maana kipato chake mwanamke ni chake binafsi mwanaume hakigusi na wala hachangii mahitaji yoyote yale kwenye familia.
na wewe mwanaume ugharamie mahitaji yote ya nyumbani
Kugharamia siyo shida:becky::becky: na ndivyo ilivyo:becky:
hapo tutaenda sawa hata ukienda msalani ukiona uvivu kujiswafi we niite tu mama fulani we njoo huku uniswafi
Yap mm si ndo kichwa cha familia nimetoka kutafuta pesa alafu unaniambia nipac nguo zangu mwenyewe wewe unaangalia akina Kanumba mbona unaweza tolewa nduki
Hahahahaha lakini tukienda Bar kila mtu ajinunulie kinywaji hilo lazima liwe wazi
Ukiwa hivyo nitakufanyia kila kitu mpaka ushindwe wewe, we nyoosha miguu tu kwa sitingi rum nitakuwekea na kakengele jirani yako ukiwa na shida unakabonyeza tu nakuja kukusikiliza bosi. Sio gharama za maisha tuchangie wote bado na kazi nyingine nifanye peke yangu hiyo HAIKUBALIKI
Kuna wanawake tena wapo hapa hapa huwa wanasema kipato chake ni chake baba anajukumu la kuhudumia familia na gharama zote yeye hachangii maana kipato chake mwanamke ni chake binafsi mwanaume hakigusi na wala hachangii mahitaji yoyote yale kwenye familia.
Si kila mtu anakuwa ameenda kivyake tunakuwa tumekutana tu bahati mbaya kila mtu anajihudumia halafu tunarudi home kila mtu kivyake vile vile.
Ukiwa hivyo nitakufanyia kila kitu mpaka ushindwe wewe, we nyoosha miguu tu kwa sitingi rum nitakuwekea na kakengele jirani yako ukiwa na shida unakabonyeza tu nakuja kukusikiliza bosi. Sio gharama za maisha tuchangie wote bado na kazi nyingine nifanye peke yangu hiyo HAIKUBALIKI