Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Namaaisha wewe ni mtu ambaye unapendelea muda mwingi kukaa peke yakoNitawaachanisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namaaisha wewe ni mtu ambaye unapendelea muda mwingi kukaa peke yakoNitawaachanisha
Kabisa sipend kukaa na watu wengiNamaaisha wewe ni mtu ambaye unapendelea muda mwingi kukaa peke yako
36 kaka 😂😁Kwani mwisho wa chances miaka mingap?
Umeelewa mada kweli?Si mnapenda wapaka poda,Tulia kwa mibaba haina kona kona yaani unapendwa na Maisha mazuri unapewa🤓
😂Hi
Nikifikiri kuhusu mapenzi naona mimi nimeumbwa kupenda na kuumizwa ila sio kupendwa mda wote unachunwa mpaka akiba
Vuta picha unakutaka na ex wako yupo na rafiki yake rafik yake anakupa salamu af ex wak anasema nilikula pesa zako
Duniani wawili wawili . Jamaa kafanana Sana na fundi bishoo .
😂Aaa hahaha labda kwa mwanamke man.36 kaka 😂😁
NishapoaPole
😂Anauza mayai ya kikundi chao niligoma kununua mayai ndio akasema ivyo
SawaInakera sana vijana kulia lia mapenzi. Kwanza kuwa na nidhamu ya hela ili hata ukiachwa haiumi.
Na
Nunua mayai mkuu ule memaKweli te
Na
A anamdomo mkubwaNunua mayai mkuu ule mema