Mapenzi yamenishinda

Mapenzi yamenishinda

Pole sana mdogo wangu,

Kwahiyo kabinti kalipata vipi nguvu ya kuongea haya?🤣
Baada ya kugoma kununua mayai anauza mayai ya kikundi chao nikawajibu situmii mayai labda mayai ya mbuni ndio yakamtoka
 
Hi

Nikifikiri kuhusu mapenzi naona mimi nimeumbwa kupenda na kuumizwa ila sio kupendwa mda wote unachunwa mpaka akiba

Vuta picha unakutaka na ex wako yupo na rafiki yake rafik yake anakupa salamu af ex wak anasema nilikula pesa zako
Kwa kawaida Sumaku huvuta vitu vyenye asili ya chuma. Je sumaku yako inavuta watu wa aina gan? Chunguza aina ya watu ambao moyo wako unawapa nafasi fanya matengenezo.
 
Kwa kawaida Sumaku huvuta vitu vyenye asili ya chuma. Je sumaku yako inavuta watu wa aina gan? Chunguza aina ya watu ambao moyo wako unawapa nafasi fanya matengenezo.
Mm napenda mwanamke kama kajala vile awe wa mjini ata nikitaka kutoka nae siwazi
 
Sijui hata nachekaa nn, kwani JF imekuaje siku hizii?
Woiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hi

Nikifikiri kuhusu mapenzi naona mimi nimeumbwa kupenda na kuumizwa ila sio kupendwa mda wote unachunwa mpaka akiba

Vuta picha unakutaka na ex wako yupo na rafiki yake rafik yake anakupa salamu af ex wak anasema nilikula pesa zako
Hayajakushinda but unayaendekeza over your logical think
Change they way una think and havitakusumbua
 
Nikifikiri kuhusu mapenzi naona mimi nimeumbwa kupenda na kuumizwa ila sio kupendwa mda wote unachunwa mpaka akiba

Vuta picha unakutaka na ex wako yupo na rafiki yake rafik yake anakupa salamu af ex wak anasema nilikula pesa zako
Mwanaume unamuambia nani hi?

Wewe ni mwanaume kweli?
 
Back
Top Bottom