platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,424
- 11,320
Ni binti mzuri kwa sura pia kichwani yuko vizuri........Ni rafiki yangu sasa yapata miezi saba. Tumekuwa tukipiga story mara kwa mara tunapokutana.
Kwa sababu ananiamini na kunichukulia kama kaka yake juzi amekuja kwangu na kunieleza tatizo lake ambalo hapo kabla hakuwa ameniambia...Ni kuhusu mahusiano yake.
Kwamba ana mpenzi wake anayempenda sana lakini miezi minne iliyopita alikuja kugundua kwamba anam-cheat, tena zaidi ya hayo akafikia kuzaa na huyo msichana.....Alivumilia na yakapita baada ya jamaa kumuomba msamaha. Mbaya zaidi baada ya kama mwezi alikuja kuona SMS ya mapenzi kutoka kwa msichana mwingine kwenye simu ya huyo jamaa.
Alifadhaika sana na kuamua kumuacha jamaa yake kwa hasira.....Na baada ya muda fulani akaja kumpata kijana mwingine ambaye ameonyesha kumpenda sana na anamjali...na inavyoonyesha mpenzi mpya anataka baadaye iwe ndoa kabisa.
Tatizo liko hapa: Anampenda sana jamaa yake wa kwanza...na yupo moyoni mwake hajafutika na kwamba anampigia simu kila wakati kumuomba msamaha warudiane. Kwake yeye anaona mtu wa future yake ni huyu mpezi mpya lakini anaona kama hayupo moyoni mwake na anashindwa namna gani amfute mawazoni jamaa wa awali ili ampende huyu mpya.
Sijamshauri mpaka sasa japo nimemuahidi kumpa ushauri wenye maana. Mimi "mbayuwayu" Naleta hapa JF nipate mchango wa mawazo ili nichanganye na zangu.
Kwa sababu ananiamini na kunichukulia kama kaka yake juzi amekuja kwangu na kunieleza tatizo lake ambalo hapo kabla hakuwa ameniambia...Ni kuhusu mahusiano yake.
Kwamba ana mpenzi wake anayempenda sana lakini miezi minne iliyopita alikuja kugundua kwamba anam-cheat, tena zaidi ya hayo akafikia kuzaa na huyo msichana.....Alivumilia na yakapita baada ya jamaa kumuomba msamaha. Mbaya zaidi baada ya kama mwezi alikuja kuona SMS ya mapenzi kutoka kwa msichana mwingine kwenye simu ya huyo jamaa.
Alifadhaika sana na kuamua kumuacha jamaa yake kwa hasira.....Na baada ya muda fulani akaja kumpata kijana mwingine ambaye ameonyesha kumpenda sana na anamjali...na inavyoonyesha mpenzi mpya anataka baadaye iwe ndoa kabisa.
Tatizo liko hapa: Anampenda sana jamaa yake wa kwanza...na yupo moyoni mwake hajafutika na kwamba anampigia simu kila wakati kumuomba msamaha warudiane. Kwake yeye anaona mtu wa future yake ni huyu mpezi mpya lakini anaona kama hayupo moyoni mwake na anashindwa namna gani amfute mawazoni jamaa wa awali ili ampende huyu mpya.
Sijamshauri mpaka sasa japo nimemuahidi kumpa ushauri wenye maana. Mimi "mbayuwayu" Naleta hapa JF nipate mchango wa mawazo ili nichanganye na zangu.