Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ulivyo sim tank 🤓, uta lia ugare gare 🤓
😂 ongeza juhudi kuombaHaiwezekani niteseke peke yangu. Mtaachana tu urudi kundini 😂
Nishalia sana asa hivi zamu yao kulia 😁😁Na ulivyo sim tank 🤓, uta lia ugare gare 🤓
😂 Save hii comment.😂 ongeza juhudi kuomba
Nime Lia Mimi🤓Nishalia sana asa hivi zamu yao kulia 😁😁
Nisaidie kusevu mama parokwo, hatuachani ng'oo mimi na .....😂 Save hii comment.
😂😂 Penzi jipya.Nisaidie kusevu mama parokwo, hatuachani ng'oo mimi na .....
Sio style yangu mkubwa, vipi yoga angeweza ku summarize page yote ile??.summarize into 250 words
Ni la muda mbona😂😂 Penzi jipya.
Natafakari kwa kina bado nije vizuri 🤣 🤣Sawa mjumbe mstaafu🤓, vipi Raine Col sija muona!!
🤣🤣Raine Col leo jumapili itakua anatumika kanisani
🤣🤣 Kutekwa kwiooSidhani 🤓, labda katekwa na mmiliki wake 🤣 Raine Col
Tunamilikiana wewe 🤣🤣🤣 anaweka nawekaKumbe Raine Col anamilikiwa? Nilijua yuko single nipate uzee mwema
🤣🤣🤣 hopeful hujafa bado endelea kuwa SubNili msalimia Raine Col kwa lugha ya Kikubwa🤓, aka niambia kafie mbele 🤣
Huruma sio malezi nishasemaa@Shadow7Raine Col ajifunze huruma, nili jihisi labda nime potea njia🤓🤣
Nawapata live🤣🤣🤣Rainel una sikia 🤓🤣🏃🏃🏃