atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Ni kama vile umeshindwa kusema hii ni chai so inabid uponde kwa style hii[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi ni kwamba mmekosa kazi za kufanya au? Mnawezaje kuandika maelezo marefu hivi kwa ajili ya kupata likes na comments tu? Na mnawezaje daily kushinda humu mmu tu? Duh hii inashangaza sana[emoji848]