Mapenzi yanatutesa Wanachuo, ushauri wenu ni wa muhimu sana kwangu kipindi hiki

Mapenzi yanatutesa Wanachuo, ushauri wenu ni wa muhimu sana kwangu kipindi hiki

Mabinti wa chuo wana iga sana maisha ya kisasa na kusahau uhalisia wa hali za vipato vyao kwa asilimia kubwa wameshatangaziwa ndoa huko mikoani kwao sasa shida hao waliotangaza ndoa vipato ni vidogo na wengine hawana ajira kabisa walikuwa mtaani pamoja au walimaliza shule ya sekondari pamoja sasa mdada akiwa chuo anataka apendeze kama anaowaona machoni mwake kumbe wenzake ni familia bora sasa wakumsadia pesa za kununua Iphone maana tecno anaona miyeyusho, nguo nzuri,pesa za saloon,akiwa chuo ale chips mishikaki,wikend anataka kwenda mlimani city au kidimbwi kwa waliopo Dar sasa hivyo vitu kufanywa na mwanaume mmoja ni kazi sana kwa hiyo hizo kazi inabidi zifanywe na wanaume tofauti tofauti na shughuli ndio inapoanza sasa.Ushauri wangu kwa akina dada mnaosoma vyuoni acheni kuona wanaume wana pesa nyingi halafu hazina kazi na vijana punguzeni kuwa ma lover boy wakati mifukoni hamna kitu pigeni kitabu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kidimbwi ipo sehem gan?
 
Habari yenu wana jamvi. Natumai mu wazima wa afya.

Nisipoteze muda iko hivi

Kuna binti mmoja hapa chuoni niko nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa. Ninampenda & analifahamu hilo. Ndo niliepanga toka awali awe mama watoto (Kama Mungu atabariki). Nimekuja kugundua yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.

Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana. Nimemuomba aachane na huyo jamaa kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia. Nimemuuliza Kama ana future naye. Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).

Hebu nisaidieni wakubwa. Make niko njia panda. Kumpenda nampenda sana.

Jf is my home where I can get every advice I need.
wewe acha masihala yako hapa, JF haipokei mijadala ya kihuni
 
Umempenda huyo msichana au umependa "tendo" mnaloshiriki??

Ushauri wangu; acha "uasherati", jitenge na "zinaa".
Weka bidii yako kwenye masomo, ukimaliza chuo, tafuta Mke uoe. Kila jambo na wakati wake.
 
Pole sana Mkuu kwa lilokukuta.
Naelewa ni ngumu kudeal na hali jii ikiwa imetokea in real life tofauti na ukisimuliwa.

My view:

Kwa hali ilivyo sasa Binti amekuwa bidhaa adimu inayotafutwa sana, kama ilivyo ada bidhaa adimu huuzwa ghali. Yaani wewe na mume mwenzio nyote mnamtaka binti, binti yuko safe ila ninyi hamna uhakika na hatma ya hisia zenu. Cha kufanya ni kubadili mchezo au kupindua meza.


- Binti kawa muwazi kuwa mko wawili na anawapenda wote (inawezekana,huenda wote mnamhudumia vyema maana binadamu n wabinafsi sana).

- Binti ni muoga kufanya maamuzi maana vitu unavyompa ni karibia sawa na anavyopewa na jamaa wa kwao (ana hofu ya kupoteza kimojawapo hivyo anakuwa kama fisi, anataka vyote).

Ushauri wangu:

Warning: kufuata ushauri huu inabidi uwe una uwezo wa kudhibiti hisia zako (self constrain).

Bila kupepesa macho Binafsi naamini anaeua kwa Upanga basi hufa kwa Upanga!

- Binti ameua kwa Upanga, nakushauri Usilalamike tena kwake kama mmeongea inatosha
Cha kufanya ili muelewane vyema fanya alichokifanya yeye exactly kilekile usizidishe.
Tafuta pisi nyingine na hakikisha anajua akiuliza majibu yako yawe kama yake kuwa umewapenda wote na unashindwa kuchagua mmoja.

Hii itawasaidia wote,
Itamsaidia Binti kuelewa ur point of view, kuwa umejisikiaje, umeumiaje, na umefikiria vitu gani kwa alichokifanya

Pili, Itakusaidia wewe kuwa katika nafasi nzuri, sababu baada ya hili kuna uwezekano ukafanikiwa kumlazimisha binti (kifikra) kufanya maamuzi and mostly in ur favor sababu ndo upo karibu nae, akikukosa itamuuma zaidi kuliko yule aliembali na sababu ya ubinafsi wake atalazimika kukuchagua ili kutetea Maslahi yake ikiwa na pamoja na kutokukupoteza.

Pia ukifanya hivyo itakupa 'alternative' hutakuwa ukimtegemea binti pekee, utampatia msaidizi...hivyo wewe ndiye utakae kuwa ni golden card! na utamfanya yeye ndio asiwe na uhakika wa hatma ya hisia zake.

Mwisho wa yote maamuzi ya kuamua aidha binti atakuwa mama watoto wako au la itategemea na mwenendo wake baada ya hatua hizo, akitulia na kuegema kwako atakufaa, vinginevyo piga moyo konde kuna mwingine utampenda na atakupenda sana.

Goodluck!

Mkuu maisha ya wanachuo unayajua halafu bado unamshauri aongeze demu mwingine

In voice ya mkulu ‘’wametuchezea sana’’
Captain its our turn now
Repel attack
Captain:fireeeeeh,
Kill them all,
No holding hostage
 
[emoji3][emoji3] 23-26 si haba mkuu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Maliza chuo tafuta kazi kisha kula kwanza maisha uje uoe ukiwa na kama miaka 32 _35 years hivi.
Hawa watu watakushangaza sana,ona huyo wako sasa kawapanga wawili kila mmoja anakula kwa wakati wake.
Ukfanikiwa kumuoa kabla ya huyo boya mwenzako nae ataendelea kula kwa wakati wake.
Akikuwahi yeye kuoa huyo nawe utakula tu kama unavyokula sa hizi.
 
Pole sana...

Huu ndiyo ubishi wa binadamu wa siku hizi...

Huyo aliyekataa kumuacha na kukuelezea wazi wazi kwamba hatamuacha ndiyo anayependwa na siyo wewe...
 
Pole sana...

Huu ndiyo ubishi wa binadamu wa siku hizi...

Huyo aliyekataa kumuacha na kukuelezea wazi wazi kwamba hatamuacha ndiyo anayependwa na siyo wewe...
Nimemuacha
Nikapigiwa simu na rafiki yake anaumwa
Wamempeleka hospitali ugonjwa hauonekani

Nilipofika akapata nguvu + kulia
Anasema Kuna reason behind inayosababisha hivyo
Muda ukifika ataniambia

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Habari yenu wana jamvi. Natumai mu wazima wa afya.

Nisipoteze muda iko hivi

Kuna binti mmoja hapa chuoni niko nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa. Ninampenda & analifahamu hilo. Ndo niliepanga toka awali awe mama watoto (Kama Mungu atabariki). Nimekuja kugundua yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.

Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana. Nimemuomba aachane na huyo jamaa kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia. Nimemuuliza Kama ana future naye. Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).

Hebu nisaidieni wakubwa. Make niko njia panda. Kumpenda nampenda sana.

Jf is my home where I can get every advice I need.
Ukipata GP ya 2.5 nitafte nikupe zawadi!
Sisi's wakati tunasoma hatukuwa na mpango kabisa wanachuo. Akijichanganya kwenye discussion room kwako unaamla yanaisha. Weekend tulikuwa tunaenda club's unanunua changudoa unamalizana nao. Jumatatu shule hadi ijumaa unaenda tena.
Wakati wa UE humkuti mtu huko ni shule tuuu
 
Ni watu wachache sana walioanzisha mapenz chuo wakaja kuoana kweli.
Mapenzi ya chuo huisha baada ya kumaliza tu, mnapokuja kutafuta kazi ndipo mnapeana certificate ya byeeee 🖐️🖐️🏃🏃
 
Back
Top Bottom