Mapenzi yanatutesa Wanachuo, ushauri wenu ni wa muhimu sana kwangu kipindi hiki

Mapenzi yanatutesa Wanachuo, ushauri wenu ni wa muhimu sana kwangu kipindi hiki

Sema huyo binti atakua ni jasiri sana kama mpaka anaweza mtamkia mdau mbele yake kwamba kumuacha haiwezekani na anaona fyucha huku na kule duh.....

namshauri mleta mada kwamba ampe binti "mitano tena na miwili ya nyongeza" [emoji23]
[emoji2][emoji2]
nilikua kwenye pepa nimerudi

Kwamba mitano tena
 
Mwamachuo gani huna akili kiasi hiki mzee??? Wewe mwenyewe unampotezea muda tu mtoto wa watu upo nae chuoni jilie vyako maana hata ukimkataza huko kwao Huendi nae zaidi zaidi atakuona lofaaa.. Ubaya hapo hapo chuoni utakuja kugongewaa USINYWEE SUMU TAFADHALI... maana kwa wivu wako wa kiboya huu UTAJIUA WEWE

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Habari yenu wana jamvi!
Natumai mu wazima wa afya.

Nisipoteze Muda iko hivi

Kuna binti mmoja hapa chuoni niko Nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa
Ninampenda & analifahamu Hilo.

Ndo niliepanga toka awali awe Mama watoto (Kama Mungu atabariki) .

Nimekuja kugundua Yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.

Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana.
Nimemuomba aachane na huyo Jamaa Kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia.
Nimemuuliza Kama ana future nae
Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).

Hebu nisaidieni wakubwa
Make Niko njia panda
Kumpenda nampenda sana.

Jf is my home where I can get every advice I need.
Ulienda chuo kutafuta wanawake au kusoma? Endelea na huo ujinga alafu uje mtaani uanze kulalamika hakuna kazi au ukipata kazi siku 2 umefukuzwa unaanza kulialia, kumbe chanzo ni kuendekeza ngono na kuacha kutafuta maarifa
 
Ukisikia msemakweli mpenzi wamungu ndohuyo nilichopenda nihuo uwazi tu ila kwenye maamzi limekaa vibaya sio jambo laajabu wengi inawatokea
 
Huyo binti anatokea mkoa gani mkuu maana kuna mmoja nilishawahi kutana naye pindi nipo chuo yeye alikuwa anatokea nyanda za juu kusini , nilipo shtuka nilitoka ndukiii hata papuchi sikula maana yule mtu nilihisi anataka kuniunganisha kwenye mtandao wa ukimwi.
 
Habari yenu wana jamvi. Natumai mu wazima wa afya.

Nisipoteze Muda iko hivi

Kuna binti mmoja hapa chuoni niko Nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa. Ninampenda & analifahamu Hilo. Ndo niliepanga toka awali awe Mama watoto (Kama Mungu atabariki). Nimekuja kugundua Yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.

Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana. Nimemuomba aachane na huyo Jamaa Kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia. Nimemuuliza Kama ana future naye. Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).

Hebu nisaidieni wakubwa. Make Niko njia panda. Kumpenda nampenda sana.

Jf is my home where I can get every advice I need.
Chuoni hakuna mapenzi ya kweli.

Mapenzi gani mnashare .
--Lecturers.
--Wanachuo wengine.
--Huko alikotoka kwao ameacha mpenzi pia.

Bado mnasema mnapendana?

Usiumie kichwa,,fata kilichokupeleka.
 
Habari yenu wana jamvi. Natumai mu wazima wa afya.

Nisipoteze Muda iko hivi

Kuna binti mmoja hapa chuoni niko Nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa. Ninampenda & analifahamu Hilo. Ndo niliepanga toka awali awe Mama watoto (Kama Mungu atabariki). Nimekuja kugundua Yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.

Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana. Nimemuomba aachane na huyo Jamaa Kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia. Nimemuuliza Kama ana future naye. Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).

Hebu nisaidieni wakubwa. Make Niko njia panda. Kumpenda nampenda sana.

Jf is my home where I can get every advice I need.
Na wewe bado ukaona akili zako hazina uwezo wa kuchambua hilo swala ukaona uje kutuletea hapa upumbavu wako....?!

So demu unakuta ana mtu bado unaendeleza nae mjadala hivi wewe unakuwa mzima kweli kwenye akili?!

Sasa shauri yako endelea nae utakuja kujua bange sio majani ya chai pumbavu mkubwa wewe....
 
Cha kushangaza kanambia Mimi ndo nimemkuta jamaa
Sasa cha kushangaza ni kipi!?
Poole lakini inaokana unapimika ndo maana kakwambia anaona future kote..
Na
Anaweza kukuacha kwa muda usiotarajia
 
Acha ujinga wewe, soma! Hao wamejaa huku mtaani utawakimbia muda muafaka ukifika! Soma acha kupoteza muda na bazazi huyo!
 
Oh lolololololololo binti kakazia anapenda huku na kule na kote anaona kuna future. Njemba kachanganyikiwa pamoja na kujua kwamba kuna njemba lingine wanakula chungu kimoja!!!
😜😜😜
Habari yenu wana jamvi. Natumai mu wazima wa afya.

Nisipoteze Muda iko hivi

Kuna binti mmoja hapa chuoni niko Nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa. Ninampenda & analifahamu Hilo. Ndo niliepanga toka awali awe Mama watoto (Kama Mungu atabariki). Nimekuja kugundua Yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.

Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana. Nimemuomba aachane na huyo Jamaa Kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia. Nimemuuliza Kama ana future naye. Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).

Hebu nisaidieni wakubwa. Make Niko njia panda. Kumpenda nampenda sana.

Jf is my home where I can get every advice I need.
 
Habari yenu wana jamvi. Natumai mu wazima wa afya.

Nisipoteze Muda iko hivi

Kuna binti mmoja hapa chuoni niko Nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa. Ninampenda & analifahamu Hilo. Ndo niliepanga toka awali awe Mama watoto (Kama Mungu atabariki). Nimekuja kugundua Yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.

Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana. Nimemuomba aachane na huyo Jamaa Kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia. Nimemuuliza Kama ana future naye. Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).

Hebu nisaidieni wakubwa. Make Niko njia panda. Kumpenda nampenda sana.

Jf is my home where I can get every advice I need.
Katika hali ya kawaida kabisa, tunapotembea huwa tunahakikisha mguu mmoja umekanyaga ardhi vyema ndipo tunanyanyua mguu mwingine kwaajiri ya kukanyaga sehemu inayofuata.

Hauwezi ukatembea pasipo angalau mguu mmoja kuwa umekanyaga chini, huko itakuwa ni kuruka kimasai.

Keep one leg down, eyes wide open, focus on the proper direction and keep moving. Or else keep both legs down and stand still.
 
Pole sana Mkuu kwa lilokukuta.
Naelewa ni ngumu kudeal na hali jii ikiwa imetokea in real life tofauti na ukisimuliwa.

My view:

Kwa hali ilivyo sasa Binti amekuwa bidhaa adimu inayotafutwa sana, kama ilivyo ada bidhaa adimu huuzwa ghali. Yaani wewe na mume mwenzio nyote mnamtaka binti, binti yuko safe ila ninyi hamna uhakika na hatma ya hisia zenu. Cha kufanya ni kubadili mchezo au kupindua meza.


- Binti kawa muwazi kuwa mko wawili na anawapenda wote (inawezekana,huenda wote mnamhudumia vyema maana binadamu n wabinafsi sana).

- Binti ni muoga kufanya maamuzi maana vitu unavyompa ni karibia sawa na anavyopewa na jamaa wa kwao (ana hofu ya kupoteza kimojawapo hivyo anakuwa kama fisi, anataka vyote).

Ushauri wangu:

Warning: kufuata ushauri huu inabidi uwe una uwezo wa kudhibiti hisia zako (self constrain).

Bila kupepesa macho Binafsi naamini anaeua kwa Upanga basi hufa kwa Upanga!

- Binti ameua kwa Upanga, nakushauri Usilalamike tena kwake kama mmeongea inatosha
Cha kufanya ili muelewane vyema fanya alichokifanya yeye exactly kilekile usizidishe.
Tafuta pisi nyingine na hakikisha anajua akiuliza majibu yako yawe kama yake kuwa umewapenda wote na unashindwa kuchagua mmoja.

Hii itawasaidia wote,
Itamsaidia Binti kuelewa ur point of view, kuwa umejisikiaje, umeumiaje, na umefikiria vitu gani kwa alichokifanya

Pili, Itakusaidia wewe kuwa katika nafasi nzuri, sababu baada ya hili kuna uwezekano ukafanikiwa kumlazimisha binti (kifikra) kufanya maamuzi and mostly in ur favor sababu ndo upo karibu nae, akikukosa itamuuma zaidi kuliko yule aliembali na sababu ya ubinafsi wake atalazimika kukuchagua ili kutetea Maslahi yake ikiwa na pamoja na kutokukupoteza.

Pia ukifanya hivyo itakupa 'alternative' hutakuwa ukimtegemea binti pekee, utampatia msaidizi...hivyo wewe ndiye utakae kuwa ni golden card! na utamfanya yeye ndio asiwe na uhakika wa hatma ya hisia zake.

Mwisho wa yote maamuzi ya kuamua aidha binti atakuwa mama watoto wako au la itategemea na mwenendo wake baada ya hatua hizo, akitulia na kuegema kwako atakufaa, vinginevyo piga moyo konde kuna mwingine utampenda na atakupenda sana.

Goodluck!
 
Back
Top Bottom