Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kimekushangaza nini wewe si umekutana naye chuo mwenzio alianzisha kitambo hiyo mbona kawaida.Cha kushangaza kanambia Mimi ndo nimemkuta jamaa
Si ndo apo Sasa![emoji28][emoji28][emoji28]
Yaan jamaa unachekesha Sanaa.
Yaan anawapenden wote!
That's nonsense.
Shika Sana elimu,usiache aende zake.[emoji3578][emoji3578]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Future chuoni?
Hahahhaa dogo una tatizo kubwa
Kama mzigo anatoa sasa what the problem is? Wee mwanamke wako ukiwa unamgegeda tuu. Akishaingia kitaa ni wa yoyote atakae fika bei yakeNilishatoka
Nilikua mgegedaji mkubwa
Mzigo anatoa kiroho Safi kabisa
Alishaniambia hana shidaMuulize ingekuwa na wewe una mpenzi angekubali ku share
Hata mimi nilipokuwa bado mdogo kama wewe nilikuwaga naamini kwamba msichana akilia machozi anamaanisha ndo anasema ukweli kwa asilimia zote kumbe...Nimejaribu kumwambia tuachane
Amelia mbele yangu kuwa hayuko tayali kwa Hilo
& Amesisitiza nisiombe ushauri kokote make anajua watanishauri vibaya
Kuwa makini wachache sana ndo wanalia kikweli wengi wanalia unafki apate tu kitu flani🤣Alishaniambia hana shida
Nifanyeje prof?Sasa kimekushangaza nini wewe si umekutana naye chuo mwenzio alianzisha kitambo hiyo mbona kawaida.
DaahKama mzigo anatoa sasa what the problem is? Wee mwanamke wako ukiwa unamgegeda tuu. Akishaingia kitaa ni wa yoyote atakae fika bei yake
Nimefanya Sana zinaa miaka yangu 2+ chuoniHapo chuoni kwenu hamna mwanamke mwingine mzuri?
She has become different from what I was thinkingChuo na mapenzi ya kuoana wap na wap???
Semester hii yuko na ww semester ijayo na mwingine ww unawaza ndoa
Hahaa duh ......br huna mke apo bali Una mtu ambae yupo naww Kwa interest fulani like maisha baada ya chuo nkAlishaniambia hana shida
I can use this brooHahaa mm nakushauri tafuta mwingine naww unaemkubali, huyo usimuache.....halafu acha maisha yaendelee Utakuja kunishukuru baadae.
mambo sijui ya future mke sijui nampenda sana achana nayo Mzee japo ikitokea sio mbaya ...usipo angalia ndugu utakuja na siredi ya kulia siku moja hapa.
Naongeza with eksipiriensi [emoji16][emoji119]