Mtu na nusu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 680
- 1,306
- Thread starter
-
- #141
[emoji2][emoji2]Sema huyo binti atakua ni jasiri sana kama mpaka anaweza mtamkia mdau mbele yake kwamba kumuacha haiwezekani na anaona fyucha huku na kule duh.....
namshauri mleta mada kwamba ampe binti "mitano tena na miwili ya nyongeza" [emoji23]
I will take thisMkumbushe kuwa ndio sehemu muhimu sana tena sanaa za kutengeneza connection tofauti tofauti + kutengeneza mahusiano mazuri na watu muhimu sio wa hovyo hovyo.
Eeeh ndio ndio ...π[emoji2][emoji2]
nilikua kwenye pepa nimerudi
Kwamba mitano tena
Ulienda chuo kutafuta wanawake au kusoma? Endelea na huo ujinga alafu uje mtaani uanze kulalamika hakuna kazi au ukipata kazi siku 2 umefukuzwa unaanza kulialia, kumbe chanzo ni kuendekeza ngono na kuacha kutafuta maarifaHabari yenu wana jamvi!
Natumai mu wazima wa afya.
Nisipoteze Muda iko hivi
Kuna binti mmoja hapa chuoni niko Nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa
Ninampenda & analifahamu Hilo.
Ndo niliepanga toka awali awe Mama watoto (Kama Mungu atabariki) .
Nimekuja kugundua Yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.
Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana.
Nimemuomba aachane na huyo Jamaa Kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia.
Nimemuuliza Kama ana future nae
Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).
Hebu nisaidieni wakubwa
Make Niko njia panda
Kumpenda nampenda sana.
Jf is my home where I can get every advice I need.
Chuoni hakuna mapenzi ya kweli.Habari yenu wana jamvi. Natumai mu wazima wa afya.
Nisipoteze Muda iko hivi
Kuna binti mmoja hapa chuoni niko Nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa. Ninampenda & analifahamu Hilo. Ndo niliepanga toka awali awe Mama watoto (Kama Mungu atabariki). Nimekuja kugundua Yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.
Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana. Nimemuomba aachane na huyo Jamaa Kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia. Nimemuuliza Kama ana future naye. Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).
Hebu nisaidieni wakubwa. Make Niko njia panda. Kumpenda nampenda sana.
Jf is my home where I can get every advice I need.
Na wewe bado ukaona akili zako hazina uwezo wa kuchambua hilo swala ukaona uje kutuletea hapa upumbavu wako....?!Habari yenu wana jamvi. Natumai mu wazima wa afya.
Nisipoteze Muda iko hivi
Kuna binti mmoja hapa chuoni niko Nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa. Ninampenda & analifahamu Hilo. Ndo niliepanga toka awali awe Mama watoto (Kama Mungu atabariki). Nimekuja kugundua Yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.
Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana. Nimemuomba aachane na huyo Jamaa Kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia. Nimemuuliza Kama ana future naye. Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).
Hebu nisaidieni wakubwa. Make Niko njia panda. Kumpenda nampenda sana.
Jf is my home where I can get every advice I need.
Sasa cha kushangaza ni kipi!?Cha kushangaza kanambia Mimi ndo nimemkuta jamaa
Habari yenu wana jamvi. Natumai mu wazima wa afya.
Nisipoteze Muda iko hivi
Kuna binti mmoja hapa chuoni niko Nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa. Ninampenda & analifahamu Hilo. Ndo niliepanga toka awali awe Mama watoto (Kama Mungu atabariki). Nimekuja kugundua Yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.
Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana. Nimemuomba aachane na huyo Jamaa Kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia. Nimemuuliza Kama ana future naye. Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).
Hebu nisaidieni wakubwa. Make Niko njia panda. Kumpenda nampenda sana.
Jf is my home where I can get every advice I need.
Katika hali ya kawaida kabisa, tunapotembea huwa tunahakikisha mguu mmoja umekanyaga ardhi vyema ndipo tunanyanyua mguu mwingine kwaajiri ya kukanyaga sehemu inayofuata.Habari yenu wana jamvi. Natumai mu wazima wa afya.
Nisipoteze Muda iko hivi
Kuna binti mmoja hapa chuoni niko Nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa. Ninampenda & analifahamu Hilo. Ndo niliepanga toka awali awe Mama watoto (Kama Mungu atabariki). Nimekuja kugundua Yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.
Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana. Nimemuomba aachane na huyo Jamaa Kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia. Nimemuuliza Kama ana future naye. Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).
Hebu nisaidieni wakubwa. Make Niko njia panda. Kumpenda nampenda sana.
Jf is my home where I can get every advice I need.