Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 19,041 Reaction score 46,239 Jul 18, 2024 #201 amshapopo said: So saivi ukimuona unaona kama ulikuwa una-date na Zombieπππ Click to expand... πππ
amshapopo said: So saivi ukimuona unaona kama ulikuwa una-date na Zombieπππ Click to expand... πππ
binti kiziwi JF-Expert Member Joined Aug 4, 2014 Posts 11,201 Reaction score 28,642 Jul 18, 2024 #202 GenuineMan said: Next time utalia machozi ya furaha. Click to expand... Amen!
binti kiziwi JF-Expert Member Joined Aug 4, 2014 Posts 11,201 Reaction score 28,642 Jul 18, 2024 #203 Aaliyyah said: πππHatar Umenikumbusha zamani nilikuwa naamka usiku naanza kulia Siku moja mama anaamka kuswali alfajir anasikia kilio chumbani akaja akasimama mlangoni πππakaniangalia akasonya akaondoka ππ Click to expand... Legend alielewa! ππππ
Aaliyyah said: πππHatar Umenikumbusha zamani nilikuwa naamka usiku naanza kulia Siku moja mama anaamka kuswali alfajir anasikia kilio chumbani akaja akasimama mlangoni πππakaniangalia akasonya akaondoka ππ Click to expand... Legend alielewa! ππππ