Mapenzi yanauma lakini kuna kale ka-feeling mkizama kwenye dimbwi la mapenzi

Mapenzi yanauma lakini kuna kale ka-feeling mkizama kwenye dimbwi la mapenzi

Hiki ndo kitu huwa nakiwaza yani watu bilioni kadhaa kweli kuhangaika na mutu 1 aaaiiihhh labda sijui lakini labda ni kiburi changu cha uzima
Kuna mkaka aliniambia nibadili dini ndio anioe, nikakataa akasema basi tuachane nikam'bembeleza siku ya 1 akagoma kesho yake nikajikaza
Siku ya 2 nikapata babe mpya☺️
Haijapita mwezi kanitafuta eti bado ananipenda turudiane nikamwambia 'Mbona mimi bado sijabadili dini kama ulivyotaka'
Akaniambia hajali tena kama nitabadili au lah
Nikamwambia 'Nenda! Mimi nina babe mpya':AmberDollDance:
 
Kuna mkaka aliniambia nibadili dini ndio anioe, nikakataa akasema basi tuachane nikam'bembeleza siku ya 1 akagoma kesho yake nikajikaza
Siku ya 2 nikapata babe mpya☺️
Haijapita mwezi kanitafuta eti bado ananipenda turudiane nikamwambia 'Mbona mimi bado sijabadili dini kama ulivyotaka'
Akaniambia hajali tena kama nitabadili au lah
Nikamwambia 'Nenda! Mimi nina babe mpya':AmberDollDance:
Ndo inavyotakiwa, kujiamini na kujisimamia muhimu,, nasemwa nina dharau🤣kunyenyeka kwa mwanaume najua sana ila ndo wakileta mapicha nawanyolosa
 
Bora azama mkuu, kuliko kupambana na dysfunction, k hii hapa lakini ngoma haisimami nyeto imeua misuli
Mimi mti nyama uwa unagoma kusimama kwa madada ambae simuelewi elewi nikiwa na hofu nae nishaacha pesa sana bila kupga ila nikikutana na baby mama chuma inakuwa imara maradufu tangu zaman uwa nipo hivyo madada wa chapa ilale siwezani nao na nimeacha kabisaaaa
 
Maskini ndio wanaumia sana na mapenzi, matajiri wala hawaumii, hata kidogo, sijui kama mtanielewa, sbb tajiri ana uwezo wa kuwa na wapenzi wengi na wote wakali na hahisi kuachwa na mmoja kuumia.
Kwasababu wewe ni masikini ,hujui hata matajiri wanapenda , pole mkuu
 
Usiombe mkakutana wote wawili mnapendana. Hatari sana. Unaweza kuona dunia nzima hii wewe ndio mtu wa maana wengine wanapoteza muda tu. Am talking about emotions, intimacy, passion, and commitment.
Ndio niko humo, nyieeeeee! Hakuna best feeling kama kumpata mnayependana. Naweza kusema kwa uhakika kabisa, huu ndio wakati bora zaidi kwangu kimapenzi.
Mungu amlinde kaka mzuri wangu.
 
Mkuu njaa haikukuuma kisawasawa wewe.!!
Usile sababu ya mtu mzima mliyekutana ukubwani? Mwenye minjino 32 mengine yameoza na kutoboka?? 😹😹😹
Pole sana
This topic is not very relatable to women, why??
Kwasababu wanawake mkiachwa maumivu mnayopata sio sawa na sisi wanaume, mwanamke akiachwa akijifungia ndani wiki moja akalia inatosha, akitoka nje yuko fresh kabisa hata hakumbuki maumivu aliyopata.
Mashoga zake wakija kumwona watamfariji pale wataanza kumwambia wanaume wote "mbwa" bac anafarijika na yeye anapoa.

Ila sisi wanaume ni tofauti kidogo, maumivu tunatembea nayo hata kwa miaka 10, imagine mm bado nina maumivu ya mpenzi wangu mwaka wa 4 sasa.

Kitu ambacho mnadanganyana wanawake ni kwamba wanaume hatuumizwi na mapenzi, hapana tunaumizwa zaidi ya mnavofikiria.
 
Ndio niko humo, nyieeeeee! Hakuna best feeling kama kumpata mnayependana. Naweza kusema kwa uhakika kabisa, huu ndio wakati bora zaidi kwangu kimapenzi.
Mungu amlinde kaka mzuri wangu.
Hatari sana, kuna wakati unamchakata mpaka anatoa chozi. Unamuuliza darling unaumia? Anasema no baby, ni mapenzi unayonipa.
Unaweza kudhani unatapeliwa, lakini utapeli wa kutoa chozi kweli?
 
Kuumia ni mara 1 tu! Kuumia kila penzi ni ujinga
Watu wote waliojaa humu duniani unamlilia mtu hadi unashindwa kula ni ugonjwa wa akili
Mdogo wangu, Mi itabidi nianze matibabu ya ugonjwa wa akili 😂

Mi kuanza kumpenda mtu na aanze kuniliza ndio jambo langu, mara 2 na sa hivi ya 3…. msiponishika soon naanza kulia kwa kwikwi huku nikibubujikwa (kama Lucas mwashambwa)

😆😆
 
Mdogo wangu, Mi itabidi nianze matibabu ya ugonjwa wa akili 😂

Mi kuanza kumpenda mtu na aanze kuniliza ndio jambo langu, mara 2 na sa hivi ya 3…. msiponishika soon naanza kulia kwa kwikwi huku nikibubujikwa (kama Lucas mwashambwa)

😆😆
Dah! Basi hao wanaokupiga matukio wanakupiga matukio madogo mpaka somo alikuingii

Mimi nilipigwa tukio la kwanza mpaka moyo wangu ukabadilika kutoka wa nyama hadi kua wa chuma.
Sasa hivi sijui mtu anifanyie tukio gani la kuniliza.

Uzuri ulionao, elimu, moyo, tabia njema na kazi unayomiliki haikufai kumng'ang'ania mtu anayekusumbua.

Uzuri wote huo halafu unamlilia mtoto wa mtu!
Ebu jikaze vaa vizuri nenda Sehemu nzuri yenye watu wa maana kapate msosi huku unapulizwa na upepo.

jinsi upepo utakavyokua unakupuliza ndivyo na wewe umpulize huyo mtu atoke ndani ya moyo na akili yako. Kuna wanaume wazuri wa maana wanakusubiria huku nje.🥂
 
Dah! Basi hao wanaokupiga matukio wanakupiga matukio madogo mpaka somo alikuingii

Mimi nilipigwa tukio la kwanza mpaka moyo wangu ukabadilika kutoka wa nyama hadi kua wa chuma.
Sasa hivi sijui mtu anifanyie tukio gani la kuniliza.

Uzuri ulionao, elimu, moyo, tabia njema na kazi unayomiliki haikufai kumng'ang'ania mtu anayekusumbua.

Uzuri wote huo halafu unamlilia mtoto wa mtu!
Ebu jikaze vaa vizuri nenda Sehemu nzuri yenye watu wa maana kapate msosi huku unapulizwa na upepo.

jinsi upepo utakavyokua unakupuliza ndivyo na wewe umpulize huyo mtu atoke ndani ya moyo na akili yako. Kuna wanaume wazuri wa maana wanakusubiria huku nje.🥂
Somo zuri mdogo wangu! ❤️❤️
 
Back
Top Bottom